kama kawaida
Senior Member
- Jul 20, 2015
- 139
- 87
Sio njaa kakimbia kesi,yeye atapona wenzake watafungwa hadi uchaguzi upite wataachiwa ngoja tuone hadi mwezi wa sita hii kesi yao haitovuka uchaguziMashinji njaa ndo imempeleka ccm halafu hana influence yoyote alipokwenda wala alipotoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu CCM ya sasa na serikali yake iko kwa nguvu ya vyombo. Mkuu nguvu ya mamba iko kumaji
Inajulikana wazi mwana ccm yoyote akitoka ndani ya ccm anakuwa sawa na Simba wa kuchorwa tu.Umeona eeeh. Yaani kacheza kishamba sana. Kama kweli alikuwa ana nia ya kuchukua form alitakiwa acheze Pele. Wangestukia tu mpira golini.
CCM wamefeli sana kumfukuza Bernad Membe, ni bora wangefanya maamuzi magumu ya kumtoa jiwe 2020 ili wajikomboe kwenye balaa litakalowakuta uchaguzi mkuu.
Sio kwelu viongonzi wengi ndani ya ccn na serikali yao hawana uwezo binafsi wa kufanya jambo lolote hata ngazi wanazofiimkia kiutawal na uongozi wanabebwa na mfumo tu. Mtazame Nape wa enzi zile na wa sasa. Makamba mpaka kufikia level ya kushiriki kuchakachua matokeo ya watanzania leo yuko wapi?? Adinde tuone nguvu yake sasaJiwe anachekesha kweli, hajui kuwa Membe team walikuwa wanataka afanye hivyohivyo. Sasa Moto uliowashwa kwa kumfukuza Membe mtaouona muda si mrefu.
Unayasikia unayoongeaaHapo CCM wamekosea kweli, hao watu walitakiwa wawekwe ndani (mahabusu) kwa kipindi kisichojulikana mpaka hapo rais atakapoapishwa, haiwezekani watu wanatukana mkuu wa nchi eti adhabu ni kuwafukuza chama.
Athari zitakuwepo ila siyo za kuiangusha ccm madarakani but kwenye ubunge kusini time will tellHaijalishi Membe ataenda chama kipi cha upinzani, athari kwa CCM ni negligible!
Ila akihamia ACT upepo wa siasa za upinzani nchini lazima uathirike!
Mbona mashinji katoka Chadema kahamia CCM kwahiyo huo nao tuite mtego ? Na wengine wengi mpaka vyeo mmewapa kwenye siasa kawaida sana hiyo. Kama akitaka kuhamia upinzani wala sioni tatizo wamkubalie tuu.
Mwisho wa siku hakuna aliye mkubwa zaidi ya chama wote wamefukuzwa!Maalim hakufukuzwa ccm kwakutia nia ya kutaka urais kama alivo fukuzwa membe maalim kafukuzwa ccm kwakudai serekali tatu
Sent using Jamii Forums mobile app