Rich Hash
Senior Member
- Mar 7, 2017
- 149
- 203
Kati ya viti 22, CHADEMA wameshinda 9 tu, na vilivyobaki 13 vimeenda Chama Tawala CCM.
Ipi taarifa sahihi kati izo mbili??
Mahaba ya mtoa mada ndiyo yaliyomfanya title yake isiendane na content
Kati ya viti 22, CHADEMA wameshinda 9 tu, na vilivyobaki 13 vimeenda Chama Tawala CCM.
Ipi taarifa sahihi kati izo mbili??
Jitambue kwanza ndo uje kutoa mapovu yakoTumbafu
Bado ni tetesi mpaka leo. Khaa!mleta mada tunakuona upo online.... tupe updates
Sasa nimeamini kuna baadhi ya watanzania wenzetu maisha yamewapiga mpaka wanachanganyikiwa. Magufuli legezakambi watu wajaribu hata kufisadi kidogo. Maana jana wachangiaji walikuwa wengi sana. Hivi kwanini watu wanaamini kila kitu ili mradi kinamkandia Baba Bashite??? Hata huko kwa baba Bashite nao wana ugonjwa kama wa hawa wa watoto wa DJ. Nafurahi sana kuona majibizano kati ya watoto wa Baba Bashite na Watoto wa Dj na baba wa wafagia barabara....me sayBado ni tetesi mpaka leo. Khaa!
Mleta mada kaingia mitini na tetesi zake.mleta mada tunakuona upo online.... tupe updates
Mleta mada kaingia mitini na tetesi zake.