Elections 2010 CCM yakiri kupoteza viti 51

Sio migogoro ya kura za maoni. Tumewachokaaaaaaa. Na tusidanganyane na hiyo 78...%. CCM inataka kutuandaa kwa ushindi mkubwa uliotokana na uchakachuaji.
 
CCM Imenyea debe...hadi Al Sahaf (msemaji wa Sadaam) anaanza kukiri?

Hii inatukumbusha thread yangu ya jana alipoanza kukiri akihojiwa na Redio Sauti Ya Ujerumani...post ipo chini..

Yule jamaa anayefanya propaganda hewa kwa JK kwa kujifanya haoni kama kuna kibano chochote mbele ya chama chake na JK wake kwa style ile ile ya jamaa aliyekuwa staa wa propaganda kwa Sadaam wakati wa vita ya ghuba aliyeitwa Al Shahaf, ambaye hata siku moja hakuwahi kukiri baghdad ilikuwa inatekwa, imejidhihirisha leo. kama kawaida yake na Kinana, kila CCM na JK wanapopata kibano, leo kwa mara ya kwanza amekiri kipigo deutche welle-radio ujerumani, kasema kichapo wanachopata wabunge na mawaziri wa JK ni kawaida ktk uchaguzi na hivyo wao wanayapokea na kukubali. ukweli ndio huo. wapo tayari sasa kupokea maumivu zaidi, hata JK inabidi alione hili, aanze kuungana na ustaarab kama wa Seif kule Zenj. aachane na akili za kizamani za uchakachuaji...Maana hiyo imeshakuwa style muflis na ita-backfire hakia nani!
nawasilisha

Bado Makambaa.....
 
Kudadadeki na bado vingine zaidi ya 100, mwaka huu ni Bunge la wenye akili. sasa wameanza kuisoma kimoyomoyo maumivu makaliiiii kama kukata mfupa bila ganzi. Tunafanya makamuziii ile mbaya. Mwaka huu ndio wa mwisho kwa wabunge wa sisiemu mwka 2015 wataambulia zero. yaani sifuri.
 
Chama kinapoteza jimbo pale inapokuwa inashikilia hilo jimbo. Huwezi kusema kuwa CCM imepoteza majimbo yote ya Pemba wakati hayo majimbo yamekuwa chini ya CUF tokea siasa za vyama vingi kurudishwa baada ya kupigwa marufuku na Nyerere. Majimbo ambayo yalikuwa chini ya CCM na kwenda upinzani hayazidi 20.
 
Kinana ni muhuni tena tunashangaa huyu msomali> Si mtanzani subiri nguvu ya wananchi lazima ikongoe :israel:
 
Chama kinapoteza jimbo pale inapokuwa inashikilia hilo jimbo. Huwezi kusema kuwa CCM imepoteza majimbo yote ya Pemba wakati hayo majimbo yamekuwa chini ya CUF tokea siasa za vyama vingi kurudishwa baada ya kupigwa marufuku na Nyerere. Majimbo ambayo yalikuwa chini ya CCM na kwenda upinzani hayazidi 20.

Wewe Kudadeki akili yako haifanyi kazi vizuri, ati unasema majimbo CCM yaliyopoteza hayazidi 20? ARE YOU MAD OR WHAT?
 
Wewe Kudadeki akili yako haifanyi kazi vizuri, ati unasema majimbo CCM yaliyopoteza hayazidi 20? ARE YOU MAD OR WHAT?

Wewe ungekuwa una akili inayofanya kazi vizuri (full of doubt), basi kwanza ungekubali ama ungekataa hiyo tafsiriya "kupoteza majimbo". Lakini hujakataa wala kukubali. Sasa homework kwako, tupe orodha ya majimbo ambayo yalikuwa chini ya CCM bunge lililopita na sasa yamechukuliwa na wapinzani. Please stick with maelezo yangu ya "kupoteza majimbo".
 
Back
Top Bottom