Kwa mujibu wa habari ndani ya Mwananchi, Bwana Kinana amekiri kuwa CCM imepoteza viti 29 Tanganyika na 22 Zanzibar.
Anasema urais wanashinda kwa asilimia 78.4. Hii inaonyesha jinsi gani matokeo yanavyopangwa na CCM jinsi watakavyo. Ametoa wapi hizo data kabla hayajatangazwa hata nusu ya majimbo?
Huu ni uhuni wa CCM.
Anasema urais wanashinda kwa asilimia 78.4. Hii inaonyesha jinsi gani matokeo yanavyopangwa na CCM jinsi watakavyo. Ametoa wapi hizo data kabla hayajatangazwa hata nusu ya majimbo?
Huu ni uhuni wa CCM.