acha wakabane koo wenyewe kwa wenyewe kwanza...lakini mi hizi kauli kwamba wapambe wa JK wanamshauri vibaya huwa inanikera sana!!! Kwanini wasimtaje mwenyewe kwamba JK ndio mzizi wa Tatizo???
Mi watu wanaosema ukweli nawapenda saana haijalishi yupo chama gani, ila nakumbuka kumsifia january makamba halafu akasema tununue mitambo ya dowans haapo ndo nakuwa nawasiwasi na hawa watu!