Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,135
- 13,254
Am proudly to be among of Arusha Resident.CHADEMA,You'll never walk alone.
Me too kamanda DALLAI LAMA. Pamoja sana!!!!!
Last edited by a moderator:
Am proudly to be among of Arusha Resident.CHADEMA,You'll never walk alone.
Poyoyo nyiiingi, mwisho ni kama iramba tu
Arusha wamefunguka, wamekomboka, wako huru kifikra na kiitikadi, mbali na kongwa la umasikini wa fikra na mawazo la nyinyiem.:llama::llama::llama::llama::llama:
Poleni chama cha mapinduzi, tatizo mmesaliti 'jembe na nyundo'. wavuja jasho sasa ni mateka ya wanyonyaji. hakika inatia huruma kwa chama alichokiasisi mwalimu nyerere.Chama cha mapinduzi CCM wamepoteza uelekeo na kubakia kumtafuta mchawi anayevujisha siri zao za ndani katika vikao vyao kila wanachozungumza wanakikuta mitandaoni, jana kwenye kikao chao wameonyesha kukata tamaa kabisa kutokana na vyanzo vyetu vya habari ndani ya CCM na kusema hii Arusha kuirudisha kata hata moja CCM ni ndoto kama tunafanya mikutano akuna mtu yoyote anayekuja kutusikiliza unategemea nini?
Mmoja wao hakioji na kusema mimi niliwaambia toka mwanzo tusifanye mikutano ya majukwaani kwasababu ni aibu amkutaka kunisikiliza sasa mmeona wenyewe jinsi tumeaibika pale Kaloleni na Elerai, sasa leo ndo mnasema tuachane na mikutano ni bora tuendelee kufanya mikutano na kuwaagiza mabalozi wetu katika kata zote wawalete watu hili angalau tuwe na watu kwasababu tukiacha kufanya mkutano yani ndo tutawapa hawa CHADEMA maneno yakuendelea kutuponda,tukomaeni kibingwa lkn ukweli ni kwamba hatuwezi kulamba kata hata moja,
chanzo cha habari intelejensia yetu ndani ya CCM
poleni chama cha
mapinduzi, tatizo mmesaliti 'jembe na nyundo'. Wavuja jasho sasa ni
mateka ya wanyonyaji. Hakika inatia huruma kwa chama alichokiasisi
mwalimu nyerere.