Chama cha mapinduzi CCM wamepoteza uelekeo na kubakia kumtafuta mchawi anayevujisha siri zao za ndani katika vikao vyao kila wanachozungumza wanakikuta mitandaoni, jana kwenye kikao chao wameonyesha kukata tamaa kabisa kutokana na vyanzo vyetu vya habari ndani ya CCM na kusema hii Arusha kuirudisha kata hata moja CCM ni ndoto kama tunafanya mikutano akuna mtu yoyote anayekuja kutusikiliza unategemea nini?
Mmoja wao hakioji na kusema mimi niliwaambia toka mwanzo tusifanye mikutano ya majukwaani kwasababu ni aibu amkutaka kunisikiliza sasa mmeona wenyewe jinsi tumeaibika pale Kaloleni na Elerai, sasa leo ndo mnasema tuachane na mikutano ni bora tuendelee kufanya mikutano na kuwaagiza mabalozi wetu katika kata zote wawalete watu hili angalau tuwe na watu kwasababu tukiacha kufanya mkutano yani ndo tutawapa hawa CHADEMA maneno yakuendelea kutuponda,tukomaeni kibingwa lkn ukweli ni kwamba hatuwezi kulamba kata hata moja,
chanzo cha habari intelejensia yetu ndani ya CCM
Mmoja wao hakioji na kusema mimi niliwaambia toka mwanzo tusifanye mikutano ya majukwaani kwasababu ni aibu amkutaka kunisikiliza sasa mmeona wenyewe jinsi tumeaibika pale Kaloleni na Elerai, sasa leo ndo mnasema tuachane na mikutano ni bora tuendelee kufanya mikutano na kuwaagiza mabalozi wetu katika kata zote wawalete watu hili angalau tuwe na watu kwasababu tukiacha kufanya mkutano yani ndo tutawapa hawa CHADEMA maneno yakuendelea kutuponda,tukomaeni kibingwa lkn ukweli ni kwamba hatuwezi kulamba kata hata moja,
chanzo cha habari intelejensia yetu ndani ya CCM