VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
CCM imejipongeza kwa kuwa huru toka katika mashambilo ya wapinzani. Katika vikao mbalimbali vya kichama hapa Lumumba, CCM imesifu ubunifu wa kumwaga petrol kwenye kambi ya wapinzani na kuwafanya wapinzani waparurane.
"CCM sasa iko huru.Wapinzani wanarushiana makombora wenyewe.Huu ni muda wetu wa kujiandaa kwa uchaguzi mkuu wa Oktoba. Tuendelee kuchochea kuni huko kwenye media" alisema Mkuu wa Kitengo cha Propaganda Ofisi Ndogo za Lumumba wakati akizungumza na timu maalum ya 'Watu wapiganaji wa mitandaoni'.
" Tusiwape nafasi wapinzani kujipanga. Tuendelee kuwaweka 'busy' hawa watu. Tuendelee kumtumia huyu jamaa ili wakati wa wanamjibu yeye,sisi tunajipanga tukiwa na nafasi na muda wa kutosha. Uteuzi wa wagombea utatukuta tukiwa na amani na utulivu" aliongeza Kada huyo Mwanadamizi wa CCM, Mtaalamu wa mipango yenye malengo.
CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
"CCM sasa iko huru.Wapinzani wanarushiana makombora wenyewe.Huu ni muda wetu wa kujiandaa kwa uchaguzi mkuu wa Oktoba. Tuendelee kuchochea kuni huko kwenye media" alisema Mkuu wa Kitengo cha Propaganda Ofisi Ndogo za Lumumba wakati akizungumza na timu maalum ya 'Watu wapiganaji wa mitandaoni'.
" Tusiwape nafasi wapinzani kujipanga. Tuendelee kuwaweka 'busy' hawa watu. Tuendelee kumtumia huyu jamaa ili wakati wa wanamjibu yeye,sisi tunajipanga tukiwa na nafasi na muda wa kutosha. Uteuzi wa wagombea utatukuta tukiwa na amani na utulivu" aliongeza Kada huyo Mwanadamizi wa CCM, Mtaalamu wa mipango yenye malengo.
CCM oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam