Hana ushahidi, na huenda ikawa si kweliNape sema tu zitto mbona haukusikia jina lake?
Kama anawafahamu wabunge wa Chadema wanaofanya biashara na Tanesco awataje.
Kama anawafahamu wabunge wa Chadema waliopokea rushwa toka Tanesco ama wafanya biashara ili wawatetee awataje pia. Vinginevyo akae kimya, aache kupiga kelele awaache wazalendo wafanye kazi zao.
Kama majina ya watu waliotajwa na TL kufanya biashara na Tanesco kwahiyo kuwa na mgongano wa kimaslahi ingekuwa si kweli, nadhani nape angetoa utetezi wake, lakini kwa kuangalia aina ya majibu aliyoyatoa ni dhahiri kwamba TL amepiga mule mule.
..sasa na yeye si angewataja kwa majina wabunge wa CDM wanaotuhumiwa kwa rushwa? Nape aache unafiki.