CCM yahalalisha rushwa Igunga - Yaibana TAKUKURU

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,886
6,883
WAITUMIA TAKUKURU SALAMU

CCM kimesema kuwa fedha zilizogawanywa miongoni mwa wajumbe wake katika kura za maoni Jimbo la Igunga hazikuwa za rushwa, bali zilitolewa na chama.

Maelezo hayo yametolewa na chama hicho kufuatia taarifa za wanachama wake watatu kushikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) katika eneo la ukumbi wa mkutano wa kura za maoni na baadaye kuachiwa.


Mwigulu aliwataka maofisa wa Takukuru kuwa makini katika kutekeleza majukumu yake kwa kufuata kanuni na taratibu zao za kazi.


Mwigulu alisema Takukuru inapaswa kutambua kuwa CCM inapowaita wajumbe kutoka sehemu mbalimbali kwa ajili ya mikutano na vikao, gharama za uendeshaji ni juu ya chama na ndicho kilichofanyika katika mkutano huo. "Sisi kama Chama Cha Mapinduzi tunapoita wajumbe kutoka sehemu mbalimbali hatutarajii wajumbe wetu wajitegemee, ni CCM inayoingia gharama zote kuanzia kusafiri, kula na kulala hadi mkutano utakapokwisha," alisema Mwigulu.


Alisisitiza kuwa hicho ndicho kilichofanyika Igunga kwa kuwapa wajumbe fedha baada ya kufika mkutanoni. "Ninasikia ni kuwa TAKUKURU waliwakuta mkutanoni hapo na si kwinginepo," alisisitiza. Mwigulu alisema Takukuru na vyombo vingine watambue kuwa fedha hizo hazikuwa za wagombea bali ni mfuko wa chama.

Alisema: "Taasisi itambue kuwa vipo vikundi vya uhamasishaji ambavyo vinakusanywa kwa ajili ya maandalizi, ni wajibu wa CCM kuandaa na kugharimia safari zao na malazi hivyo ni wajibu wa taasisi (Takukuru) kupata maelezo kuhusiana na hilo isijekutokea wakadhani kuwa wanapewa rushwa."


Aidha, akizungumzia uchaguzi huo, Mwigulu alisema wakati vyama vya siasa vikikimbilia kuchukua fomu, CCM inajipanga kwa ajili ya ushindi mkubwa na wa kishindo.

"Ninachotaka kuwaambia kuhusiana na uchaguzi ujao ni kwamba, ushindi uko wazi kwa CCM kwa kuona mtaji mkubwa uliopo na hasa vijijini," alisema. Alisema kuwa vyama vinapaswa kujipima na bora kujitoa mapema kuliko kuanza malalamiko na kukimbilia Takukuru.


IPPMedia
 
CCM kimesema kuwa fedha zilizogawanywa miongoni mwa wajumbe wake katika kura za maoni Jimbo la Igunga hazikuwa za rushwa, bali zilitolewa na chama.

Maelezo hayo yametolewa na chama hicho kufuatia taarifa za wanachama wake watatu kushikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) katika eneo la ukumbi wa mkutano wa kura za maoni na baadaye kuachiwa.


Mwigulu aliwataka maofisa wa Takukuru kuwa makini katika kutekeleza majukumu yake kwa kufuata kanuni na taratibu zao za kazi.

Thana ya kutoa rushwa inamhusu mtu binafsi tu au kikundi, kampuni au chama wanaweza kutoa rushwa kwa malengo ya kufanikisha jambo fulani kwa manufaa yao?
 
Takukuru wanapaswa kutumia ile sheria ya gharama za uchaguzi kwani kama wakikutwa wanagawa fedha kwa watu na ambao majina ya watu hao sio miongoni mwa timu ya kampeini basi wakamatwe maana na wapokea rushwa.
 
Nawashauri wanaigunga msikubali virushwa havitawasaidia na mtateseka kwa miaka minne ya jasho na damu kuweni makini jamani
 
<font size="4">WAITUMIA TAKUKURU SALAMU</font><br />
<br />
<font size="3">CCM kimesema kuwa fedha zilizogawanywa miongoni mwa wajumbe wake katika kura za maoni Jimbo la Igunga hazikuwa za rushwa, bali zilitolewa na chama. <br />
<br />
Maelezo hayo yametolewa na chama hicho kufuatia taarifa za wanachama wake watatu kushikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) katika eneo la ukumbi wa mkutano wa kura za maoni na baadaye kuachiwa.</font><br />
<font size="3"><br />
Mwigulu aliwataka maofisa wa Takukuru kuwa makini katika kutekeleza majukumu yake kwa kufuata kanuni na taratibu zao za kazi.</font><br />
<font size="3"><br />
Mwigulu alisema Takukuru inapaswa kutambua kuwa CCM inapowaita wajumbe kutoka sehemu mbalimbali kwa ajili ya mikutano na vikao, gharama za uendeshaji ni juu ya chama na ndicho kilichofanyika katika mkutano huo. "Sisi kama Chama Cha Mapinduzi tunapoita wajumbe kutoka sehemu mbalimbali hatutarajii wajumbe wetu wajitegemee, ni CCM inayoingia gharama zote kuanzia kusafiri, kula na kulala hadi mkutano utakapokwisha," alisema Mwigulu.</font><br />
<font size="3"><br />
Alisisitiza kuwa hicho ndicho kilichofanyika Igunga kwa kuwapa wajumbe fedha baada ya kufika mkutanoni. "Ninasikia ni kuwa TAKUKURU waliwakuta mkutanoni hapo na si kwinginepo," alisisitiza. Mwigulu alisema Takukuru na vyombo vingine watambue kuwa fedha hizo hazikuwa za wagombea bali ni mfuko wa chama. <br />
<br />
Alisema: "Taasisi itambue kuwa vipo vikundi vya uhamasishaji ambavyo vinakusanywa kwa ajili ya maandalizi, ni wajibu wa CCM kuandaa na kugharimia safari zao na malazi hivyo ni wajibu wa taasisi (Takukuru) kupata maelezo kuhusiana na hilo isijekutokea wakadhani kuwa wanapewa rushwa."</font><br />
<font size="3"><br />
Aidha, akizungumzia uchaguzi huo, Mwigulu alisema wakati vyama vya siasa vikikimbilia kuchukua fomu, CCM inajipanga kwa ajili ya ushindi mkubwa na wa kishindo. <br />
<br />
"Ninachotaka kuwaambia kuhusiana na uchaguzi ujao ni kwamba, ushindi uko wazi kwa CCM kwa kuona mtaji mkubwa uliopo na hasa vijijini," alisema. Alisema kuwa vyama vinapaswa kujipima na bora kujitoa mapema kuliko kuanza malalamiko na kukimbilia Takukuru.</font><br />
<br />
<font size="1"><i>IPPMedia</i></font>
<br />
<br />
 
Hapo iangaliwe sheria ya uchaguzi , aiwezekani ugawe pesa wakati wa uchaguzi useme ni posho mbona awakugawa wakati si wauchaguzi? Jamani ccm hacheni vi2ko mmetuchosha jamani
 
Kwa nini vyama vingine vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi havilalamikiwi na mambo haya ya kugawana posho kutoka vyama vyao vya siasa? Mazingara ya ugawanaji pesa kama ni kwa utaratibu wa kawaida isingetiliwa shaka kama kwenye vyama vingine mambo yanaenda kwa mfumo na utaratibu usiolalamikiwa. Mazingira haya ya CCM kwa vyo vyote yanatia shaka na kuanza kuwazipa kipao TAKUKURU kwa vitisho kitu ambacho kinaashiria hali isyo ya kawaida kwamba na dhana ya rushwa ya uchaguzi kwa wapiga kura.
 
Helmut Kohl CDU-party finance scandal.

A party financing scandal became public in 1999, when it was discovered that the CDU had received and kept illegal donations during his leadership.

Investigations by the Bundestag into the sources of illegal CDU funds, mainly stored in Geneva bank accounts, revealed two sources. One was the sale of German tanks to Saudi Arabia (kickback question), while the other was the privatization fraud in collusion with the late French President François Mitterrand who wanted 2,550 unused allotments in the former East Germany for the then French owned Elf Aquitaine. In December 1994 the CDU majority in the Bundestag enacted a law that nullified all rights of the current owners. Over 300 million DM in illegal funds were discovered in accounts in the canton of Geneva.

The fraudulently acquired allotments were then privatized as part of Elf Aquitaine and ended up with TotalFinaElf, now Total S.A.

Mwisho lazima tuseme wazi kuwa hata EPA ilikuwa ni pesa kwa ajili ya chama na WABUNGE WOOTE wa CCM, ukianzia akina Sitta, Mwakyembe, Mwandosya, Magufuli nk hadi kwa Mafisadi woote walivuta Milioni tano za EPA. Ndiyo maana hutasikia wakisema kitu.

Huyo Mkapa, ni wa kuzomea huko Igunga kwani Ufisadi uliokubuhu ni yeye aliuleta.
 
WAITUMIA TAKUKURU SALAMU


Mwigulu alisema Takukuru inapaswa kutambua kuwa CCM inapowaita wajumbe kutoka sehemu mbalimbali kwa ajili ya mikutano na vikao, gharama za uendeshaji ni juu ya chama na ndicho kilichofanyika katika mkutano huo. "Sisi kama Chama Cha Mapinduzi tunapoita wajumbe kutoka sehemu mbalimbali hatutarajii wajumbe wetu wajitegemee, ni CCM inayoingia gharama zote kuanzia kusafiri, kula na kulala hadi mkutano utakapokwisha," alisema Mwigulu.


IPPMedia

Kama CCM huwa inagawa hela kama njugu kwenye mikutano yao, swali linakuja je: Ni wapi utakapopatikana uthibitisho wa malipo kama hakuna kusign kwa mpokeaji wa malipo? Je auditing ikifanyika source documents zinakuwa confirmed vipi?, maana kuandika tu kiasi kadhaa kimetumika kwa malipo haitoshi kama hakuna evidence hiyo from mlipwaji?

Je CCM ndiyo inavyofanya hivi kuwalipa watendaji wake?, kama ndiyo basi watakuwa ni wakwepa kodi wakubwa sana. Huyu Mwigulu ninaamini atakuwa amepitia pale mlimani BCOM, atueleze wale wataalam wa uhasibu na fedha ndiyo walimfundisha awe analipa pesa kama njugu bila ya kurecord?. Tukisema kuwa Mwigulu ni Fisadi aliyewalipa watu kumi na kuandika kalipa mia tutakuwa tumekosea>

My take

Malipo yote halali ni lazima yawe na utaratibu ufuatao
1. unakuwa na list ya majina ya walipwaji au unayaandika

2. Wakati wa kumlipa mtu anasaini kuwa kapokea kiasi kadhaa kwa ajili ya kadhaa

3. Kama unamlipia mtu usafiri, malazi na chakula wakati akiwa kishafika eneo la tukio basi kwenye usafiri utatakiwa kukusanya risiti za usafiri ili kuwa-refund pesa waliyotumia, otherwise uwalipe kabla ya kusafiri. Je Mwigulu alilifanya hilo?

Kama hayo ya juu yamefanyika Mwigulu yupo sahihi ila kama jayakufanyika mwigulu alikuwa anagawa RUSHWA. Maana kumpatia mtu monetary assets without accounting for, at a time when you need a favoirable return (Assisting CCM to win an election) from him/her is CORRUPTION and nothing else.
 
Hata CUF walidai kwamba wanawalipa posho mawakala waliosimamia uhesabu kura uchaguzi mkuu wa mwaka 2010!
 
mwigulu, tafadhali mwigulu, mwigulu torati yasema(usimtokose mwana mbuzi pamoja na maziwa ya mama yake) kama hujui tafsiri ya maneno hayo nakushauri ufunge kisha umlilie mungu akutendee muujiza wa sauli kwani hakika unamuudhi mungu, na umeshupaza shingo kama farao, hivi ni kweli unapenda kaka zako waendelee kuwa watumwa. damu za watu wangu na ziwe juu ya kichwa chako na familia yako, hakika mungu awanyesheaye mvua sisimizi, mijusi na vipepeo atayachunguza mapito yako sawa sawa na mapenzi yake.
 
Kweli kazi ya TAKUKURU ngumu, watu wanatumia mbinu zote kuhalalisha rushwa. Sheria ya gharama za uchaguzi ipo wapi?
 
Helmut Kohl CDU-party finance scandal.

A party financing scandal became public in 1999, when it was discovered that the CDU had received and kept illegal donations during his leadership.

Investigations by the Bundestag into the sources of illegal CDU funds, mainly stored in Geneva bank accounts, revealed two sources. One was the sale of German tanks to Saudi Arabia (kickback question), while the other was the privatization fraud in collusion with the late French President François Mitterrand who wanted 2,550 unused allotments in the former East Germany for the then French owned Elf Aquitaine. In December 1994 the CDU majority in the Bundestag enacted a law that nullified all rights of the current owners. Over 300 million DM in illegal funds were discovered in accounts in the canton of Geneva.

The fraudulently acquired allotments were then privatized as part of Elf Aquitaine and ended up with TotalFinaElf, now Total S.A.

Mwisho lazima tuseme wazi kuwa hata EPA ilikuwa ni pesa kwa ajili ya chama na WABUNGE WOOTE wa CCM, ukianzia akina Sitta, Mwakyembe, Mwandosya, Magufuli nk hadi kwa Mafisadi woote walivuta Milioni tano za EPA. Ndiyo maana hutasikia wakisema kitu.

Huyo Mkapa, ni wa kuzomea huko Igunga kwani Ufisadi uliokubuhu ni yeye aliuleta.
Mkuu nakubariana na wewe kabisa! yaani umeongea point za kushiba. CCM ni sawa na jini linyonyalo damu
 
TRA JE MNAKATA KODI MALIPO HAYA.
Kama kawaida yakifanyika malipo ya aina yeyote lazima kodi ikatwe kama ambavyo unapokwenda kununua kitu dukani au unapolipwa posho, mshahara au bonus lazima ikatwe kodi. je wahusika hawa wanalipa kodi kwenye pesa wanazogawiwa kama njugu ?? hii ni rushwa ya wazi na ni
lazima takukuru wachukue hatua na chadema kwanini msitafute kamera ndogo ili kuwarekodi wakati wanagawana pesa hizi.??
 
WAITUMIA TAKUKURU SALAMU

CCM kimesema kuwa fedha zilizogawanywa miongoni mwa wajumbe wake katika kura za maoni Jimbo la Igunga hazikuwa za rushwa, bali zilitolewa na chama.

Maelezo hayo yametolewa na chama hicho kufuatia taarifa za wanachama wake watatu kushikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) katika eneo la ukumbi wa mkutano wa kura za maoni na baadaye kuachiwa.

Mwigulu aliwataka maofisa wa Takukuru kuwa makini katika kutekeleza majukumu yake kwa kufuata kanuni na taratibu zao za kazi.

Mwigulu alisema Takukuru inapaswa kutambua kuwa CCM inapowaita wajumbe kutoka sehemu mbalimbali kwa ajili ya mikutano na vikao, gharama za uendeshaji ni juu ya chama na ndicho kilichofanyika katika mkutano huo. “Sisi kama Chama Cha Mapinduzi tunapoita wajumbe kutoka sehemu mbalimbali hatutarajii wajumbe wetu wajitegemee, ni CCM inayoingia gharama zote kuanzia kusafiri, kula na kulala hadi mkutano utakapokwisha,” alisema Mwigulu.

Alisisitiza kuwa hicho ndicho kilichofanyika Igunga kwa kuwapa wajumbe fedha baada ya kufika mkutanoni. “Ninasikia ni kuwa TAKUKURU waliwakuta mkutanoni hapo na si kwinginepo,” alisisitiza. Mwigulu alisema Takukuru na vyombo vingine watambue kuwa fedha hizo hazikuwa za wagombea bali ni mfuko wa chama.

Alisema: “Taasisi itambue kuwa vipo vikundi vya uhamasishaji ambavyo vinakusanywa kwa ajili ya maandalizi, ni wajibu wa CCM kuandaa na kugharimia safari zao na malazi hivyo ni wajibu wa taasisi (Takukuru) kupata maelezo kuhusiana na hilo isijekutokea wakadhani kuwa wanapewa rushwa.”

Aidha, akizungumzia uchaguzi huo, Mwigulu alisema wakati vyama vya siasa vikikimbilia kuchukua fomu, CCM inajipanga kwa ajili ya ushindi mkubwa na wa kishindo.

“Ninachotaka kuwaambia kuhusiana na uchaguzi ujao ni kwamba, ushindi uko wazi kwa CCM kwa kuona mtaji mkubwa uliopo na hasa vijijini,” alisema. Alisema kuwa vyama vinapaswa kujipima na bora kujitoa mapema kuliko kuanza malalamiko na kukimbilia Takukuru.

IPPMedia

Bwana Mkubwa

Kwa expirience niliyo ipata kwa last campaign huku Dodoma mkuu ni kuwa CCM wanapenda pesa esp wale wapiga kura wao hupewa posho ambazo wao huziiita takrima na unakuta katika makundi yao kabisa wana weza kupishana kwa ajiri ya hivyo vijisenti hilo liko wazi CCM humwaga pesa na Tsht kofia na kadharika.

Takukuru ndio kabisaaa usisema ndio Corrupt wa kuwanza kwenye hizi kampeni na hapo ndipo muda wao wa mavuno wana twist stories Dodoma nilishuhudia yule Gulam anapewa story ya kimbisa kafanya nini na hao Takukuru na wakawa wana sema lazima wamwangushe tuu hapo takukuru hajashili kupokea rushwaa mkuuu hebu niambiene.

Hii hali ya kupeana pesa hutengeza uhasma baina ya ndugu, jamaa, koo hapa na pale kisa tu ni uchaguzi namtaka fulani kwanini tusimchague tu mtu kwa sera zake za kutushawishi tu kuliko kutanguliza pesa???
 
hiyo ni kauli ya mwigulu na serikali yao ya mafisadi hakuna ukweli zaidi ya kuwa walikuwa wanagawa rushwa maana taratibu za posho zinajulikana rate/day na fare hulipwa kulingana na umbali wa mjumbe baada ya kuonesha tikiti ya usafiri unaokubalika. Hawezi kukiri kuwa naye ni GAMBA anayetakiwa kujivua/kuvuliwa
 
Watakao chagua chama kwa kupokea rushwa kwa nyakati hizi, kwa kweli historia itakuja wahukumu.

Na hao ndugu zangu wa Igugnga watafanya hivyo ujue kwani watatishiwa kuwa anagalieni CCM ilicho wafanyieni kipindi cha Rostam yote hayo yalipitia kwa CCM kutatokea maneno ya ajabu lakini ukija baini undani wa maendeleo ya ndugu zangu hapo ingunga utachoka maana upendeleo wa kuleta maendeleo ulitizamwa kweli katika kila wilaya?????
 
Hapo iangaliwe sheria ya uchaguzi , aiwezekani ugawe pesa wakati wa uchaguzi useme ni posho mbona awakugawa wakati si wauchaguzi? Jamani ccm hacheni vi2ko mmetuchosha jamani

Kwa hoja TAKUKURU kuwahoji wahusika kisha kuwaachia bila kuchukua hatua ni dalili ya kuwa ni washiriki wa kubwa wa rushwa. Maana katika uchaguzi wa mwakajana walichachamaa kipindi cha wanamagamba walipokuwa wanateuliwa, lakini kwenye kampeni za vyama vyote na kuchaguzi baada ya wanamagamba kuwa na wagombea wao rasmi licha ya urshwa kushamiri lakini nichoshuhudia TAKUKURU kuwa likizoni.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom