Ccm yageuka kuwa kikosi cha zima motto huko igunga.

politiki

JF-Expert Member
Sep 2, 2010
2,376
1,507
Nyumba yako au ya jiraniyako ikiungua unategemea kuona watu wa faya wakija kukusaidia au polisi kwa ajili ya kuchunguza tukio la moto
kujua kama umeunguliwa kwa bahati mbaya au umefanyiwa hujuma au hata wewe mwenyewe umetengeneza hujuma kwa sababu zako
binafsi
lakini wiki hii huko Igunga tumejionea maajabu nyumba inaungua makada wa CCM na magwanda yao ya kijani ndio wa kwanza kuonekana alfajili na mapema kabla ya polisi kufika wala majirani na wanafika eneo la tukio bila hata kuwapa muda polisi wafanye uchunguzi kujua nini kilitokea MAKADA WA CCM WANAANZA KUGAWA MAPESA KWA MWENYE NYUMBA. may be ndio wanampa malipo yake ya banda lake la kuku hata mimi nachoma banda langu la kuku kwa malaki ya bure. sijaona viongozi waungwana na wanaowajali watu kuliko hata fire bridgade au polisi kama CCM. CCM sasa mnajidharirisha jamani.
 
ukisikia siasa uchwara za magamba ujue ndio hizo kibaya zaidi hawana mtu mwenye upeo wa kuona mbali wakifanya kitu wanatumia masaburi
hawatumii kichwa na wanajisahau kuwa wanaodanganya sio wote mabwege kiasi hicho kila unalolifanya ni kutafuta kura za huruma kwa wananchi
wako tayari hata kuharibu uso wa mtu wao {tindi kali},wanachoa kibanda ili wapate kibaya zaidi pale mwenye sauti {pesa} kula wake za wanyonge
wao duuuuuuuu! ccm bana!! ila ukiona hivo ujue ni MAJI YA SHINGO tayari.
 
Nyumba yako au ya jiraniyako ikiungua unategemea kuona watu wa faya wakija kukusaidia au polisi kwa ajili ya kuchunguza tukio la moto
kujua kama umeunguliwa kwa bahati mbaya au umefanyiwa hujuma au hata wewe mwenyewe umetengeneza hujuma kwa sababu zako
binafsi
lakini wiki hii huko Igunga tumejionea maajabu nyumba inaungua makada wa CCM na magwanda yao ya kijani ndio wa kwanza kuonekana alfajili na mapema kabla ya polisi kufika wala majirani na wanafika eneo la tukio bila hata kuwapa muda polisi wafanye uchunguzi kujua nini kilitokea MAKADA WA CCM WANAANZA KUGAWA MAPESA KWA MWENYE NYUMBA. may be ndio wanampa malipo yake ya banda lake la kuku hata mimi nachoma banda langu la kuku kwa malaki ya bure. sijaona viongozi waungwana na wanaowajali watu kuliko hata fire bridgade au polisi kama CCM. CCM sasa mnajidharirisha jamani.

Nimechoka kusoma huu uharo toka kwa hawa vichaa CCM....
 
ukisikia siasa uchwara za magamba ujue ndio hizo kibaya zaidi hawana mtu mwenye upeo wa kuona mbali wakifanya kitu wanatumia masaburi
hawatumii kichwa na wanajisahau kuwa wanaodanganya sio wote mabwege kiasi hicho kila unalolifanya ni kutafuta kura za huruma kwa wananchi
wako tayari hata kuharibu uso wa mtu wao {tindi kali},wanachoa kibanda ili wapate kibaya zaidi pale mwenye sauti {pesa} kula wake za wanyonge
wao duuuuuuuu! ccm bana!! ila ukiona hivo ujue ni MAJI YA SHINGO tayari.
kwa hili nakubaliana nawe na RA kuwa CCM imejaa siasa za uchwara.
 
aliyeandika ndio ana uharo.. si ndivyo???

aloandika ana uhalo kweli.ktk akili ya kawaida bila kuongozwa na biases nj ethnocentric ideas u can c kwa nin ccm waliapear kusaidia hata kabla ya zmamoto.zmamoto wako inefectiv mijin sembuse huko interior kwa huyo mzee!
 
aloandika ana uhalo kweli.ktk akili ya kawaida bila kuongozwa na biases nj ethnocentric ideas u can c kwa nin ccm waliapear kusaidia hata kabla ya zmamoto.zmamoto wako inefectiv mijin sembuse huko interior kwa huyo mzee!

wewe ukipatwa na motto nyumbani kwako au kwa jirani yako utampigia simu kwanza katibu mkuu wa ccm au utapiga simu polisi kuona kama unaweza kupata msaada. haijawai kutokea mtu anapata ajali ya motto watu wa kwanza ku show up wamevaa magwanda ya kijani na maburungutu ya pesa mkononi hata marekani kwenyewe hakuna kitu kama hicho. ni kweli zimamoto hawako effective so as CCM, Look at the way they run down social service in our country. sababu ya msingi kwanini CCM ilikuwa ya kwanza kufika kwenye tukio ni kwa sababu wao ndio walio stage hilo tukio kutafuta huruma za wapiga kura na siyo kwamba CCM labda inamjali huyu mzee.
 
CCM ni mavi ya kale .Mukama ni ndondocha taahira wa hali ya juu propaganda zao zinabackfire bado wanaendelea mpaka sisimizi wamejua kwamba CCM wanadanganya sannnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnna
 
Nyumba yako au ya jiraniyako ikiungua unategemea kuona watu wa faya wakija kukusaidia au polisi kwa ajili ya kuchunguza tukio la moto
kujua kama umeunguliwa kwa bahati mbaya au umefanyiwa hujuma au hata wewe mwenyewe umetengeneza hujuma kwa sababu zako
binafsi
lakini wiki hii huko Igunga tumejionea maajabu nyumba inaungua makada wa CCM na magwanda yao ya kijani ndio wa kwanza kuonekana alfajili na mapema kabla ya polisi kufika wala majirani na wanafika eneo la tukio bila hata kuwapa muda polisi wafanye uchunguzi kujua nini kilitokea MAKADA WA CCM WANAANZA KUGAWA MAPESA KWA MWENYE NYUMBA. may be ndio wanampa malipo yake ya banda lake la kuku hata mimi nachoma banda langu la kuku kwa malaki ya bure. sijaona viongozi waungwana na wanaowajali watu kuliko hata fire bridgade au polisi kama CCM. CCM sasa mnajidharirisha jamani.
Walikua wa kwanza kufika kwenye tukio coz wao wenyewe ndo wamewasha uwo moto, haihitaji degree kujua kuwa CCM imeona hali mbaya na sasa inatafuta public sympathy.
 
wewe ukipatwa na motto nyumbani kwako au kwa jirani yako utampigia simu kwanza katibu mkuu wa ccm au utapiga simu polisi kuona kama unaweza kupata msaada. haijawai kutokea mtu anapata ajali ya motto watu wa kwanza ku show up wamevaa magwanda ya kijani na maburungutu ya pesa mkononi hata marekani kwenyewe hakuna kitu kama hicho. ni kweli zimamoto hawako effective so as CCM, Look at the way they run down social service in our country. sababu ya msingi kwanini CCM ilikuwa ya kwanza kufika kwenye tukio ni kwa sababu wao ndio walio stage hilo tukio kutafuta huruma za wapiga kura na siyo kwamba CCM labda inamjali huyu mzee.

Conspiracy theories are always there mkuu.....Mi nadhan hatuko certain haswa kuhusu nani alistage hili tukio.Labda baadae vyombo husika vyaweza kutuondolea hizi uncertainities baada ya uchunguz kukamilika
 
Back
Top Bottom