VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
MwanaDiwani,maliza kwanza fungate.Acha siasa kwa muda na umhudumie mkeo hata kidogo. Kalenga aisiharibu ndoa yako changa Mwenezi.Nawe kwani ulikuwepo Iringa?
Last edited by a moderator:
Sina uhakika vizuri lakini hata huyu inadaiwa amekamatwa na polisi akigawa rushwa.
Hii ndoto yako siyo ya kwanza naya mwisho.wamesomba wengne mby il waonekane wengi hakuna lolote
CHADEMA walianza kwa ulaghai na wanamalizwa na ulaghai....
....Ndani ya mioyo yao kuna siri kubwa na kesho wataisema kwa vitendo....ukitazama kwa makini picha hata unyooshaji wa mikono unaonyesha !!!
Chadema ni Mpango wa Mungu wengine kwa Shetani tu...
CHADEMA wagawe rushwa!!!!Ndiyo mbunge wa Chadema mzazi mwenzie Dr.Slaa Bi Rose Kamili alikuwa anatoa rushwa kwa wapiga kura.
dah! hii nchi hii sjui hata tumuamuamini nani!Sina uhakika vizuri lakini hata huyu inadaiwa amekamatwa na polisi akigawa rushwa.
Wewe endelea kushuhudia hayo mabasi ili upate muda baada ya kesho wa kushuhudia pia ushindi mnono wa CCM.Mimi nipo iringa nimeshuhudia mabasi ya upendo yanasomba watu kutoka sehemu mbalimbali"
The only true wisdom is in knowing you know nothing-SocratesMwanaDiwani,maliza kwanza fungate.Acha siasa kwa muda na umhudumie mkeo hata kidogo. Kalenga aisiharibu ndoa yako changa Mwenezi.Nawe kwani ulikuwepo Iringa?
Wananchi wakiwa wamembeba kwa furaha mgombea wa Ubunge jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, kwa tiketi ya CCM, Godfrey Mgimwa, wakati wa mkutano wa kufunga kampeni uliofanywa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi, kwenye Uwanja wa Mnada, Kijiji cha Kidamali, Kata ya Nzihi, leo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, Naibu Katibu Mkuu (Bara) Mwigulu Nchemba na Mgombea wa CCM jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa wakisalimia wananchi baada ya kuwasili kwenye mkutano huo.
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akimnadi Mgimwa kwenye mkutano huo wa kufunga kampeni
Naibu Katibu Mkuu(Bara), Mwigulu Nchemba akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kufunga kampeni
Mgimwa akihutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano huo wa kufunga kampeni
Mgimwa akiionyesha hadhara mkewe Robi, kwenye mkutano huo wa kufunga kampeni za CCM.
Umati wa wananchi wakinyoosha mikono kuafiki kumchagua mgombea wa CCM, Godfrey Mgimwa kesho.
dah! hii nchi hii sjui hata tumuamuamini nani!
Ndiyo mbunge wa Chadema mzazi mwenzie Dr.Slaa Bi Rose Kamili alikuwa anatoa rushwa kwa wapiga kura.