nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
wakati tukiendelea na porojo za kushitakiwa kwa Rwakatare na yule dogo Ludovich, serikali na ccm wanatabasamu pembeni kuwa mchezo waliokuwa wameukusudia umefanikiwa.
ccm na serikali wamehusika KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE na Kujeruhiwa kwa Mhariri Kibanda kwa kila namna ya ushahidi uliopo. SASA msala ukawa ni namna gani wataidanganya jamii isahau habari za Kibanda na kuhamisha mind katika sakata la Kibanda.
wamefanikiwa na kama vyombo vya habari vitalala , vijiandae swala hili kuzimwa kama la ULIMBOKA.
ccm na serikali wamehusika KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE na Kujeruhiwa kwa Mhariri Kibanda kwa kila namna ya ushahidi uliopo. SASA msala ukawa ni namna gani wataidanganya jamii isahau habari za Kibanda na kuhamisha mind katika sakata la Kibanda.
wamefanikiwa na kama vyombo vya habari vitalala , vijiandae swala hili kuzimwa kama la ULIMBOKA.