Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,654
Hali ya ccm na cdm hapa tz imeendelea kushika kazi baada ya chama cha mrengo wa kati kukichezesha ngoma chama cha kijani bila kujijua.ccm badala ya kufanya kazi kwa sababu ndio wenye dola wamekazania kujibu madai ya cdm kwenye majukwaa ya kisiasa huku cdm mtaji wao ukiendelea kuongezeka.chadema ni chama makini ndio maana wanatumia makosa ya ccm kupiga kampeni za 2015 huku ccm wakiendelea kucheza ngoma hiyo ya magwanda huku wamefunikwa macho bila kujua kwamba hizo ni kampeni za 2015 je ccm hailioni hili?