Hawa magamb badala ya kuwaeleza wapiga kura wamewafanyia nn miaka 50 ya uhuru na watawafanyia nn wananchi baada ya kukamata jimbo tena wao wanaleta siasa za maji taka.
Baada kuona ccm imezidi kumsakama kwa wapiga kura kuwa hafai kwenda Bungeni sababu mke, mgombea ubunge wa CDM Bw Nasari leo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jioni hii mjini Usa River, alijibu mapigo kwa kuwataka ccm wakahoji kwanza kuwa mbona Spika wa Bunge Bi Anna Makinda hana Mume? Nae Godbless Lema aliwaambia wapiga kura wamchague kijana wao Nasari aliyezaliwa na kukulia na kusomea Arumeru akawawakilishe Dodoma, wasimchague Mvaa Kihereni kwani Dodoma hakuna mashindano ya Mamiss Walimbwende, huyo mvaa Kihereni aende Mombasa ndio kwenye wenzake, kisha akaanza kuimbisha " Mtoto huyu vipi? Mtoto huyu si riziki!
hao wenye wake na waume wameifanyia nini nchi hii zaidi ya kuitafuna na kulimbikizia familia zao?
Baada kuona ccm imezidi kumsakama kwa wapiga kura kuwa hafai kwenda Bungeni sababu mke, mgombea ubunge wa CDM Bw Nasari leo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jioni hii mjini Usa River, alijibu mapigo kwa kuwataka ccm wakahoji kwanza kuwa mbona Spika wa Bunge Bi Anna Makinda hana Mume? Nae Godbless Lema aliwaambia wapiga kura wamchague kijana wao Nasari aliyezaliwa na kukulia na kusomea Arumeru akawawakilishe Dodoma, wasimchague Mvaa Kihereni kwani Dodoma hakuna mashindano ya Mamiss Walimbwende, huyo mvaa Kihereni aende Mombasa ndio kwenye wenzake, kisha akaanza kuimbisha " Mtoto huyu vipi? Mtoto huyu si riziki!
Baada kuona ccm imezidi kumsakama kwa wapiga kura kuwa hafai kwenda Bungeni sababu mke, mgombea ubunge wa CDM Bw Nasari leo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jioni hii mjini Usa River, alijibu mapigo kwa kuwataka ccm wakahoji kwanza kuwa mbona Spika wa Bunge Bi Anna Makinda hana Mume?
mkuu,
sasa umegusa kiini cha roho.
...Sipati picha hako katoto katakakozaliwa kwenye hiyo couple...!!!!kwa hiyo kijana anataka amuopoe spika!