Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 220,708
- 728,539
CCM yadai mwaka huu ni waakinamama kufuatia uteuzi wa CC kwenye nafasi ya Uspika lakini uteuzi huo ni wa kumuenzi Mama Anne Makinda pekee kama Makinda na wala siyo wanawake kwa sababu Makinda ana fikra zinazoshahibiana na hiyo CC.........................HUYU NI MWENZETU.........
Lakini wapo hawa waheshimiwa wabunge wawili ambao tafakuri zao zatofautana na CC hususani JK ambaye hupendelea kuteua viongozi ambao watamsujudia yeye na kumsifia mara kwa mara.....kuwa haya ni mawazo ya Raisi Jakaya Mrisho Kikwete............au Raisi wetu Kikwete ametuagiza tufanye a, b, c,...........huku wakificha hayo ni mawazo yao wenyewe au ya wasaidizi wao..........
Viongozi wengi serikalini hivi sasa hata mawazo yao na ubunifu wao hum'milikisha JK ili wasije kuonekana wanatofautiana naye au wanajitutumua kuwa ni viongozi bora kuliko yeye..............Waogopa kuonekana wanamfunika bosi wao...................
Mtihani kwa JK ni kama kweli amenuia kuwaenzi akina mama katika uongozi kuna hawa wabunge machachari wa CCM je atawateua kuwa mawaziri kwenye wizara nyeti na kutohofu waheshimiwa hawa kumfunika yeye?
Waheshimiwa wabunge hao ni :-
a) Mheshimiwa Prof. Anna Tibaijuka...............
b) Mheshimiwa Anne Kilango Malecela.....................
Asipofanya hivyo basi teuzi za CC aliyoisimamia yeye mwenyewe kwa Anne Makinda kuwa Spika lilikuwa ni changa la usoni tumetupiwa wanaharakati wa maendeleo.......itabidi tushtuke ya kuwa kumbe mwanamke CCM huinuliwa juu juu kama waona wanaweza kumtumia watakavyo...........
Lakini wapo hawa waheshimiwa wabunge wawili ambao tafakuri zao zatofautana na CC hususani JK ambaye hupendelea kuteua viongozi ambao watamsujudia yeye na kumsifia mara kwa mara.....kuwa haya ni mawazo ya Raisi Jakaya Mrisho Kikwete............au Raisi wetu Kikwete ametuagiza tufanye a, b, c,...........huku wakificha hayo ni mawazo yao wenyewe au ya wasaidizi wao..........
Viongozi wengi serikalini hivi sasa hata mawazo yao na ubunifu wao hum'milikisha JK ili wasije kuonekana wanatofautiana naye au wanajitutumua kuwa ni viongozi bora kuliko yeye..............Waogopa kuonekana wanamfunika bosi wao...................
Mtihani kwa JK ni kama kweli amenuia kuwaenzi akina mama katika uongozi kuna hawa wabunge machachari wa CCM je atawateua kuwa mawaziri kwenye wizara nyeti na kutohofu waheshimiwa hawa kumfunika yeye?
Waheshimiwa wabunge hao ni :-
a) Mheshimiwa Prof. Anna Tibaijuka...............
b) Mheshimiwa Anne Kilango Malecela.....................
Asipofanya hivyo basi teuzi za CC aliyoisimamia yeye mwenyewe kwa Anne Makinda kuwa Spika lilikuwa ni changa la usoni tumetupiwa wanaharakati wa maendeleo.......itabidi tushtuke ya kuwa kumbe mwanamke CCM huinuliwa juu juu kama waona wanaweza kumtumia watakavyo...........