CCM yaambulia Umeya Jiji Moja

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,539
217,803
Huu ndio ukweli , kwamba katika nchi hii yenye majiji matano tu mithili ya kiganja cha mkono wa binadamu ambayo ni Mwanza , Mbeya , Arusha , Tanga na Dar es salaam , UKAWA imechukua manne .

Hata hilo ambalo inasemekana ccm wamechukua lina walakini .

Hii ni dalili mbaya sana kwa ccm na washirika wake , kwa vile ccm ina wenyewe , basi tuchukulie washirika wake ni wale 46 wanaosubiri huruma ya viongozi .

Kwa nchi kama hii miji mikubwa ( kwa maana ya majiji , ndio taa ya miji midogo ) , vile vile miji midogo ni taa ya vijiji vinavyozunguka , kwa mfano jimbo la Kyela , pamoja na ccm kuonekana kushinda kata za mashambani lakini kupoteza kwenye kata zote za mjini kumewafanya watu wa vijiji kuona aibu kujitambulisha kama wanaccm wanapokuja mjini kuuza mazao yao kwa hofu ya kuonekana washamba , Kyela hivi sasa ni aibu na fedheha kwa mtu kuwa mwanaccm .

Uhakika ni kwamba ushindi UKAWA wa majiji haya manne utakomboa nchi , ni suala la muda tu.
 
Huu ndio ukweli , kwamba katika nchi hii yenye majiji matano tu mithili ya kiganja cha mkono wa binadamu ambayo ni Mwanza , Mbeya , Arusha , Tanga na Dar es salaam , UKAWA imechukua manne .

Hata hilo ambalo inasemekana ccm wamechukua lina walakini .

Hii ni dalili mbaya sana kwa ccm na washirika wake , kwa vile ccm ina wenyewe , basi tuchukulie washirika wake ni wale 46 wanaosubiri huruma ya viongozi .

Kwa nchi kama hii miji mikubwa ( kwa maana ya majiji , ndio taa ya miji midogo ) , vile vile miji midogo ni taa ya vijiji vinavyozunguka , kwa mfano jimbo la Kyela , pamoja na ccm kuonekana kushinda kata za mashambani lakini kupoteza kwenye kata zote za mjini kumewafanya watu wa vijiji kuona aibu kujitambulisha kama wanaccm wanapokuja mjini kuuza mazao yao kwa hofu ya kuonekana washamba , Kyela hivi sasa ni aibu na fedheha kwa mtu kuwa mwanaccm .

Uhakika ni kwamba ushindi UKAWA wa majiji haya manne utakomboa nchi , ni suala la muda tu.
hongera sana tunasubiri barabara maji na madawati
 
Tunaamini kuwa watu walioko mijini ni wajuaji wa mambo mengi na hata walio vijijini wanalitambua hilo. Sasa huu ni mtihani mkubwa sana huko vijijini kwani siku zote wanatamani nao kuwa kama wa mjini.
Pengine wanajiuliza kwa nini wamepoteza fursa hii ya wao kufikiri na kuamua kama wa mjini? Time will tell
 
Na uhakika kuwa haya majiji yatakuwa kwa kasi sana chini ya ukawa Na kuliletea taifa heshima Na hilo moja bila figisu figisu washinge lipata
 
[QUOTE="Tetty, post: 15530240, member: 65Hujamalizia wa Chama Cha majangili na Majambazi.He is Proud to be a member of Chama cha Majambazi na majizi ya mali za umma.Hongerea sana[/QUOTE]
Siwezi bishana na nyumbu Mimi mbona nyie chagadema mmejaza majizi na majambazi na wapiga dili kama Lowasa na mbowe
 
[QUOTE="Tetty, post: 15530240, member: 65Hujamalizia wa Chama Cha majangili na Majambazi.He is Proud to be a member of Chama cha Majambazi na majizi ya mali za umma.Hongerea sana
Siwezi bishana na nyumbu Mimi mbona nyie chagadema mmejaza majizi na majambazi na wapiga dili kama Lowasa na mbowe[/QUOTE]
mjomba povu linalokutoka si la kitoto , kisa nini ?
 
Na uhakika kuwa haya majiji yatakuwa kwa kasi sana chini ya ukawa Na kuliletea taifa heshima Na hilo moja bila figisu figisu washinge lipata
UKAWA ina mpango mzito sana kuhakikisha maendeleo ya haraka na ya kiwango cha juu sana pale waliposhinda , uoga wa aibu ndio ulisababisha watu kufoji zuio la mahakama kwenye uchaguzi wa meya wa jiji.
 
Back
Top Bottom