CCM ya Nape Nnauye vs CCM ya Humphrey Polepole: Kutoka CCM ya wana-CCM kuogopa kuvaa sare za Chama hadi CCM ya kukimbiliwa na Wapinzani

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
Ukiwasikia baadhi ya makada maarufu ndani ya CCM, hasa walioko benchi, wakiwemo Nape Nnauye, Hussein Bashe, Prof. Mark Mwandosya, Bernard Membe etc, etc, etc; utabaki kushangaa namna wanavyokikosoa vikali tena bila aibu Chama chao, huku wakitabiri mara kwa mara kuwa, kwa mwendo wa CCM chini ya utawala wa Awamu ya Tano, Chama hicho kitaanguka.
Hata hivyo, ukifuatilia kwa undani, utagundua kuwa, makada hao hawaongei maneno yanayotoka moyoni bali sana ajenda yao binafsi.

Hii ni kwa sababu, Watanzania wengi hasa wana-CCM walipata shida sana katika kipindi cha pili cha Utawala wa Kikwete, hasa miaka yake mitatu ya mwisho (2013-2015) kuanzia kipindi cha Mchakato wa Katiba mpya hadi mchakato wa Uchaguzi Mkuu.

Kipindi hicho, wana-CCM wengi walikuwa wanajiona wanyonge na wakati mwingine wakibadilisha mavazi yao kila mara baada ya kumalizika kwa mikutano ama vikao vya Chama.

Licha ya kuwepo kwa Kampeni za kujivua gamba, pamoja na Ziara ya miaka miwili ya Kinana na Nape Nchi nzima (2013-2015) na kupata wanachama wapya 284,300 huku 38,984 walitokea Vyama vya Upinzani, wakiwemo viongozi, bado haikutosha kukiuza vya kutosha Chama cha Mapinduzi kwa umma na ililazimika kupoteza mwaka 2015 asilimia 3% zaidi ya zile 61% za urais ilizopata mwaka 2010. Hiyo inaonyesha wazi kuwa, mabaya ya CCM yalikuwa mengi kuliko mazuri.

Leo CCM ya Dk. Bashiru na Polepole, ikipata ushirikiano usio wa kinafiki kutoka kwa Mwenyekiti wao, inavutia watu wengi zaidi kujiunga na CCM, halafu kuna vichwa maji wengine wanakasirika kweli. Leo hii kila mwana-CCM anajiona fahari kuvaa sare ya CCM tofauti na kabla ya mwaka 2015.
Nadhani hapa wajuvi wa mambo na wazee wenzangu wa kutokwa mapovu tutaweza kutiririka katika hoja hii.
Je, Nape anaona wivu juu ya usajili wa mwenzake kuwa umetishia legacy yake ndani ya CCM ama anakerwa tu kuona Wapinzani wakijiunga CCM?
 
Nape anaogopa chaka lake ambalo alitegemea kukimbilia linasafishwa, ni wazi kwa sasa hakuna Mbunge wa CCM anayetamani kuhamia upinzani 2020 kasoro wale wachache ambao wanajua watanyimwa nafasi ya kugombea kupitia CCM 2020.

Ushauri mwepesi kwa Nape ajiandae kisaikolojia na kiuchumi kurudi uraiani, aje kujiunga na Zitto kufanya ueneze ACT Wazalendo kwa ajili ya 2025.
 
Hakuna cha upendo wa chama wala uzuri, Watu wanatetea ugali sasa hata ukimuambia acha familia yake anaacha

Kwa sasa watu wameamua kucheza style ya DJ hasa wale wanaokula chakula

Mfano wewe na Magazeti yako umeamua kujitoa akili pia ili upate shibe huku ukweli unaujua

Maisha yalishakuwa magumu sana sana kwa watu wengi, Ili baadhi mlioamua kuweka akili nyuma na tumbo mbele, mnafaidi neema za nchi

Kumbuka kuna siku wewe na majarida yako kwenye utawala wa mtu mungine mtakuwa wa kwanza kufirisiwa

Kwa miaka hii ya mwanzo utaona raha lakini kwa umri wako uliobaki kuishi waweza ishia pabaya

Hakuna kupendwa hapo bali njaa inalazimu kupenda maana njaa imeanzia kichwani

Pole sana Mzee wa Magazeti ya Tanzanite na vijarida vya kudharilisha raia wema
 
Kutoka CCM ya hoja hadi CCM ya risasi, CCM ya aina ya Museveni, aina ya Kagame.
Hivi kwa akili zenu hao wanao kimbilia huko ni kwa mapenzi yao au wanaogopa kulaza njaa familia zao na kupotea? Mleta mada naona umekuwa na juhudi kubwa kutaka kuaminisha watu ccm inakuwa imara lakini sio ccm bali kinachofanyika ni kulazimisha kumjenga mwenyekiti binafsi kwa nguvu maana hauziki, ni D/U tuu au sasa kesha kuwa D/K.
Ona mnavyojipendekeza kwake kiasi cha kufiwa na Dada tuu mnafanya msiba kama wa kitaifa eti mpaka media zote zinatuma wawakilishi huko.
Tuliona msiba Wa mama mzazi Wa baba Wa taifa ukiwa Wa kifamilia sembuse dada? Acheni kulazimisha kujipendekeza namna hiyo, mtu miaka miwili unusu tuu tayari direction ya nchi imeshageuka kitabia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mleta mada. Umechambua vizuri na ni picha halisi!!!
CCM ya sasa si ile tena!!! Hii ni CCM ambayo wapenzi na wanachama wake wako huru zaidi na kutembea kifua mbele.
CCM ya Nape ilikuwa ni vigumu kwa wazalendo kujiunga nayo! CCM ya MEMBE ilikuwa nadra sana kwa wasionacho kupata nafasi ya kugombea na kushinda.
CCM ya Polepole na Bashiru imeamsha misingi ya CCM ya kutetea wanyonge na kulinda maslahi mapana ya nchi.
ile CCM iliyogeuza nchi yetu SHAMBA LA BIBI imekwenda na akina Nape.
Ni jukumu sasa la kuzidi kujipambanua kwa CCM hii moja ili kutufikisha ktk umoja wa nitwits.
 
Ama kweli mleta mada ni polepole, huyu huyu ndiye aliyekuwa akiandika kuwa Kinana apumzike, ili hali akidhani yeye ndiye atakayepewa ile nafasi.

Hii tabia ya kutumia jina bandia kwa kiongozi kama Polepole na makonda ni kuonyesha udhaifu.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mleta mada. Umechambua vizuri na ni picha halisi!!!
CCM ya sasa si ile tena!!! Hii ni CCM ambayo wapenzi na wanachama wake wako huru zaidi na kutembea kifua mbele.
CCM ya Nape ilikuwa ni vigumu kwa wazalendo kujiunga nayo! CCM ya MEMBE ilikuwa nadra sana kwa wasionacho kupata nafasi ya kugombea na kushinda.
CCM ya Polepole na Bashiru imeamsha misingi ya CCM ya kutetea wanyonge na kulinda maslahi mapana ya nchi.
ile CCM iliyogeuza nchi yetu SHAMBA LA BIBI imekwenda na akina Nape.
Ni jukumu sasa la kuzidi kujipambanua kwa CCM hii moja ili kutufikisha ktk umoja wa nitwits.
Bashiru kashika nafasi jana tuu, wachemi unafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiwasikia baadhi ya makada maarufu ndani ya CCM, hasa walioko benchi, wakiwemo Nape Nnauye, Hussein Bashe, Prof. Mark Mwandosya, Bernard Membe etc, etc, etc; utabaki kushangaa namna wanavyokikosoa vikali tena bila aibu Chama chao, huku wakitabiri mara kwa mara kuwa, kwa mwendo wa CCM chini ya utawala wa Awamu ya Tano, Chama hicho kitaanguka. Hata hivyo, ukifuatilia kwa undani, utagundua kuwa, makada hao hawaongei maneno yanayotoka moyoni bali sana ajenda yao binafsi.
Hii ni kwa sababu, Watanzania wengi hasa wana-CCM walipata shida sana katika kipindi cha pili cha Utawala wa Kikwete, hasa miaka yake mitatu ya mwisho (2013-2015) kuanzia kipindi cha Mchakato wa Katiba mpya hadi mchakato wa Uchaguzi Mkuu.
Kipindi hicho, wana-CCM wengi walikuwa wanajiona wanyonge na wakati mwingine wakibadilisha mavazi yao kila mara baada ya kumalizika kwa mikutano ama vikao vya Chama.
Licha ya kuwepo kwa Kampeni za kujivua gamba, pamoja na Ziara ya miaka miwili ya Kinana na Nape Nchi nzima (2013-2015) na kupata wanachama wapya 284,300 huku 38,984 walitokea Vyama vya Upinzani, wakiwemo viongozi, bado haikutosha kukiuza vya kutosha Chama cha Mapinduzi kwa umma na ililazimika kupoteza mwaka 2015 asilimia 3% zaidi ya zile 61% za urais ilizopata mwaka 2010. Hiyo inaonyesha wazi kuwa, mabaya ya CCM yalikuwa mengi kuliko mazuri.
Leo CCM ya Dk. Bashiru na Polepole, ikipata ushirikiano usio wa kinafiki kutoka kwa Mwenyekiti wao, inavutia watu wengi zaidi kujiunga na CCM, halafu kuna vichwa maji wengine wanakasirika kweli. Leo hii kila mwana-CCM anajiona fahari kuvaa sare ya CCM tofauti na kabla ya mwaka 2015.
Nadhani hapa wajuvi wa mambo na wazee wenzangu wa kutokwa mapovu tutaweza kutiririka katika hoja hii.
Je, Nape anaona wivu juu ya usajili wa mwenzake kuwa umetishia legacy yake ndani ya CCM ama anakerwa tu kuona Wapinzani wakijiunga CCM?
Umeandika ujinga mkubwa sana...nimesoma kuanzia mwanzo hadi mwisho nimegundua kuwa huna akili timamu na una kaushamba ama kaulimbukeni Fulani hivi kwenye masuala ya Siasa na Muenendo wa nchi ...ukitaka ufafanuzi zaidi njoo PM maana hapa utapata tabu sana Ovaaa!!!
 
Ukiwasikia baadhi ya makada maarufu ndani ya CCM, hasa walioko benchi, wakiwemo Nape Nnauye, Hussein Bashe, Prof. Mark Mwandosya, Bernard Membe etc, etc, etc; utabaki kushangaa namna wanavyokikosoa vikali tena bila aibu Chama chao, huku wakitabiri mara kwa mara kuwa, kwa mwendo wa CCM chini ya utawala wa Awamu ya Tano, Chama hicho kitaanguka. Hata hivyo, ukifuatilia kwa undani, utagundua kuwa, makada hao hawaongei maneno yanayotoka moyoni bali sana ajenda yao binafsi.
Hii ni kwa sababu, Watanzania wengi hasa wana-CCM walipata shida sana katika kipindi cha pili cha Utawala wa Kikwete, hasa miaka yake mitatu ya mwisho (2013-2015) kuanzia kipindi cha Mchakato wa Katiba mpya hadi mchakato wa Uchaguzi Mkuu.
Kipindi hicho, wana-CCM wengi walikuwa wanajiona wanyonge na wakati mwingine wakibadilisha mavazi yao kila mara baada ya kumalizika kwa mikutano ama vikao vya Chama.
Licha ya kuwepo kwa Kampeni za kujivua gamba, pamoja na Ziara ya miaka miwili ya Kinana na Nape Nchi nzima (2013-2015) na kupata wanachama wapya 284,300 huku 38,984 walitokea Vyama vya Upinzani, wakiwemo viongozi, bado haikutosha kukiuza vya kutosha Chama cha Mapinduzi kwa umma na ililazimika kupoteza mwaka 2015 asilimia 3% zaidi ya zile 61% za urais ilizopata mwaka 2010. Hiyo inaonyesha wazi kuwa, mabaya ya CCM yalikuwa mengi kuliko mazuri.
Leo CCM ya Dk. Bashiru na Polepole, ikipata ushirikiano usio wa kinafiki kutoka kwa Mwenyekiti wao, inavutia watu wengi zaidi kujiunga na CCM, halafu kuna vichwa maji wengine wanakasirika kweli. Leo hii kila mwana-CCM anajiona fahari kuvaa sare ya CCM tofauti na kabla ya mwaka 2015.
Nadhani hapa wajuvi wa mambo na wazee wenzangu wa kutokwa mapovu tutaweza kutiririka katika hoja hii.
Je, Nape anaona wivu juu ya usajili wa mwenzake kuwa umetishia legacy yake ndani ya CCM ama anakerwa tu kuona Wapinzani wakijiunga CCM?
Nape anapigania kuna uvccm wengi sana na niwasomi na wamepigania chama kwa nguvu zao zote na mwaka wa uchaguzi ukivaa shati la kijani unazomewa leo hawapati vyeo wanapata wale waliokuwa wanawatukana mimi naona ndicho hicho anachopigania
 
Ukiwasikia baadhi ya makada maarufu ndani ya CCM, hasa walioko benchi, wakiwemo Nape Nnauye, Hussein Bashe, Prof. Mark Mwandosya, Bernard Membe etc, etc, etc; utabaki kushangaa namna wanavyokikosoa vikali tena bila aibu Chama chao, huku wakitabiri mara kwa mara kuwa, kwa mwendo wa CCM chini ya utawala wa Awamu ya Tano, Chama hicho kitaanguka. Hata hivyo, ukifuatilia kwa undani, utagundua kuwa, makada hao hawaongei maneno yanayotoka moyoni bali sana ajenda yao binafsi.
Hii ni kwa sababu, Watanzania wengi hasa wana-CCM walipata shida sana katika kipindi cha pili cha Utawala wa Kikwete, hasa miaka yake mitatu ya mwisho (2013-2015) kuanzia kipindi cha Mchakato wa Katiba mpya hadi mchakato wa Uchaguzi Mkuu.
Kipindi hicho, wana-CCM wengi walikuwa wanajiona wanyonge na wakati mwingine wakibadilisha mavazi yao kila mara baada ya kumalizika kwa mikutano ama vikao vya Chama.
Licha ya kuwepo kwa Kampeni za kujivua gamba, pamoja na Ziara ya miaka miwili ya Kinana na Nape Nchi nzima (2013-2015) na kupata wanachama wapya 284,300 huku 38,984 walitokea Vyama vya Upinzani, wakiwemo viongozi, bado haikutosha kukiuza vya kutosha Chama cha Mapinduzi kwa umma na ililazimika kupoteza mwaka 2015 asilimia 3% zaidi ya zile 61% za urais ilizopata mwaka 2010. Hiyo inaonyesha wazi kuwa, mabaya ya CCM yalikuwa mengi kuliko mazuri.
Leo CCM ya Dk. Bashiru na Polepole, ikipata ushirikiano usio wa kinafiki kutoka kwa Mwenyekiti wao, inavutia watu wengi zaidi kujiunga na CCM, halafu kuna vichwa maji wengine wanakasirika kweli. Leo hii kila mwana-CCM anajiona fahari kuvaa sare ya CCM tofauti na kabla ya mwaka 2015.
Nadhani hapa wajuvi wa mambo na wazee wenzangu wa kutokwa mapovu tutaweza kutiririka katika hoja hii.
Je, Nape anaona wivu juu ya usajili wa mwenzake kuwa umetishia legacy yake ndani ya CCM ama anakerwa tu kuona Wapinzani wakijiunga CCM?
Kama unakiri chama kilikuwa kibovu ni kwa nini hamkubali kuwapaapisha wapinzani waongoze nchi, unaleta utetezi wa wakipumbavu chama kongwe kinajivunia kupata wanachama 23 kama vile ndo kwanza kimeanzishwa
 
Back
Top Bottom