Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,073
Wadau Nawasalimu.
Tuliokuwepo wakati wa UTAWALA wa AWAMU ya Pili ya RAIS MWINYI tulikuwa tunamsikia BABA wa TAIFA Mwl. Nyerere Akiongea na Wazee wa Dar es salaam AKIIKOSOA Serikali ya Awamu ya Pili na CCM na hakuna Mtu aliyethubutu Kumjibu iwe kwenye Magazeti Redio au ndani ya CCM. Ukosoaji wake ilikuwa ni Changamoto kwa Serikali na CCM kujirekebisha.
Jambo la KUSHANGAZA
Kwa Sasa ni tofauti Mwanaccm akiikosoa CCM au SERIKALI tena UKOSOAJI wa KUIJENGA wanaibuka kina KIBAJAJI na KIHONGOSI kumtukana na Kumwambia huyo mtu AJITAFAKALI au Ana tatizo la AKILI. Nadhani tufike mahali Tuheshimiane kila mtu ana HAKI na UHURU wa kutoa MAONI yake na Kama hukubaliani na UKOSOAJI wake basi TUKOSOANE kwa HOJA sio MATUSI na Vitisho.
Tuliokuwepo wakati wa UTAWALA wa AWAMU ya Pili ya RAIS MWINYI tulikuwa tunamsikia BABA wa TAIFA Mwl. Nyerere Akiongea na Wazee wa Dar es salaam AKIIKOSOA Serikali ya Awamu ya Pili na CCM na hakuna Mtu aliyethubutu Kumjibu iwe kwenye Magazeti Redio au ndani ya CCM. Ukosoaji wake ilikuwa ni Changamoto kwa Serikali na CCM kujirekebisha.
Jambo la KUSHANGAZA
Kwa Sasa ni tofauti Mwanaccm akiikosoa CCM au SERIKALI tena UKOSOAJI wa KUIJENGA wanaibuka kina KIBAJAJI na KIHONGOSI kumtukana na Kumwambia huyo mtu AJITAFAKALI au Ana tatizo la AKILI. Nadhani tufike mahali Tuheshimiane kila mtu ana HAKI na UHURU wa kutoa MAONI yake na Kama hukubaliani na UKOSOAJI wake basi TUKOSOANE kwa HOJA sio MATUSI na Vitisho.