CCM ya Mkapa na JK iliua njia kuu za usafirishaji kuneemesha matajiri, CCM ya Magufuli yasifika kwa kuuresha Matajiri waishi kama Mashetani

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,753
7,075
Wana Jf,

Katika watu wanaoleta hisia mzito mpaka kufikia hatua ya kutoa machozi ni pale unapoona watu wakishangilia urejeshwaji wa usafiri wa Treni, ufufuaji wa njia nyingi za treni tena nyingine watu walijenga juu yake hata kufika mitalimbo ya chuma kuitumia kama nguzo.

walioshiriki kuua njia hizi ni hizi tawala za Mkapa na Jk, mfano. Mkoa wa Kagera, Katavi bei ya vitu kama sukari, cement , mabati nchi nzima ilikuwa sawa,lakini baada ya kumaliza kujenga barabara ya lami dar- mtukula hujuma mbali mbali zilianza, Mara waangushe treni za mizigo, Mara za abiria. Tulishuhudia watu wengi wakifa, njia hii ikawa sio ya uhakika tena.

jinsi Mkapa na JK walivyosababisha kufa kwa usafiri wa UMMA hilo hawawezi kulikwepa kwani baada ya kufa usafiri wa reli kulijitokeza makampuni mengi ya kusafirisha mafuta, vifaa vya ujenzi, chakula, kila kitu kilipanda mpaka watu walitamani kutumia bidhaa za nchi za jirani.

Haya maroli ndio yanayotesa barabara zetu mpaka Leo, barabara zimekuwa za marekebisho ya Mara kwa Mara huku tukitumia gharama kubwa ambazo zingeepukika.

Hili swala LA kusifia Ccm ya Magufuri kwa kurejesha usafiri wa reli ni LA kushangaza mno kwani waliohua reli hizi wapo. Ifike hatua waliotenda makosa ya makusudi nao washitakiwe angalau walipe gharama kwa makosa waliyoyatenda . Haiwezekani unaua NASaCO, UDA, KIUTA, NMC alafu unaachwa ili watakaofanya kazi ya kufufua ndio waonekane watendaji makini.
 
Hizo treni hazikuwa na uwezo wa kuhudumia nchi nzima usafiri, zilijengwa na mjerumani mwaka 1908 wakati huo Tanganyika ilikuwa na watu chini ya milioni 8, sasa ivi tuko milioni 54! Serikali ipige marufuku usafiri wa mabasi na malori ya mizigo hata wiki 1 tu uone shida itakayotokea, mijitu mingine hizi akili za kitaahira sijui mnatoaga wapi.
 
Hizo treni hazikuwa na uwezo wa kuhudumia nchi nzima usafiri, zilijengwa na mjerumani mwaka 1908 wakati huo Tanganyika ilikuwa na watu chini ya milioni 8, sasa ivi tuko milioni 54! serikali ipige marufuku usafiri wa mabasi na malori ya mizigo hata wiki 1 tu uone shida itakayotokea, mijitu mingine hizi akili za kitaahira sijui mnatoaga wapi.
Kwa hiyo ziliuliwa kwa kuwa hazikukidhi haja? Na sasa zinafufuliwa ili iweje, mbona zimejaribiwa kufanyiwa hujuma hivi karibuni. Akili za kimasaburi zitakutesa sana lol.
 
Wana Jf,

Katika watu wanaoleta hisia mzito mpaka kufikia hatua ya kutoa machozi ni pale unapoona watu wakishangilia urejeshwaji wa usafiri wa Treni, ufufuaji wa njia nyingi za treni tena nyingine watu walijenga juu yake hata kufika mitalimbo ya chuma kuitumia kama nguzo.

walioshiriki kuua njia hizi ni hizi tawala za Mkapa na Jk, mfano. Mkoa wa Kagera, Katavi bei ya vitu kama sukari, cement , mabati nchi nzima ilikuwa sawa,lakini baada ya kumaliza kujenga barabara ya lami dar- mtukula hujuma mbali mbali zilianza, Mara waangushe treni za mizigo, Mara za abiria. Tulishuhudia watu wengi wakifa, njia hii ikawa sio ya uhakika tena.

jinsi Mkapa na JK walivyosababisha kufa kwa usafiri wa UMMA hilo hawawezi kulikwepa kwani baada ya kufa usafiri wa reli kulijitokeza makampuni mengi ya kusafirisha mafuta, vifaa vya ujenzi, chakula, kila kitu kilipanda mpaka watu walitamani kutumia bidhaa za nchi za jirani.

Haya maroli ndio yanayotesa barabara zetu mpaka Leo, barabara zimekuwa za marekebisho ya Mara kwa Mara huku tukitumia gharama kubwa ambazo zingeepukika.

Hili swala LA kusifia Ccm ya Magufuri kwa kurejesha usafiri wa reli ni LA kushangaza mno kwani waliohua reli hizi wapo. Ifike hatua waliotenda makosa ya makusudi nao washitakiwe angalau walipe gharama kwa makosa waliyoyatenda . Haiwezekani unaua NASaCO, UDA, KIUTA, NMC alafu unaachwa ili watakaofanya kazi ya kufufua ndio waonekane watendaji makini.
Fikirisha akili Nani alikuwa waziri wa ujenzi awamu hizo kwann hakutoa shilingi.
 
Tunashangaa anasifiwa MTU ambaye chama chake kilihusika kutenda haya. Mfano reli ya Arusha ilikufa toka 2000 kisa kulinda makampuni ya usafarishaji
Mramba ndie aliyeuwa reli alianza na katakana ya tanga then tanga ikafa kiuchumi.
 
Kwa hiyo ziliuliwa kwa kuwa hazikukidhi haja? Na sasa zinafufuliwa ili iweje, mbona zimejaribiwa kufanyiwa hujuma hivi karibuni. Akili za kimasaburi zitakutesa sana lol.
Reli ya kati ilikuwepo miaka yote, malori na mabasi hayapo? serikali imefufua treni ili iongeze mapato yake tu, na wala sio kwamba kuna shida ya usafiri wa watu na mizigo, reli ya TAZARA ipo miaka yote na bado mabasi na malori ya kwenda Zambia yamejaa, acha upuuzi weye
 
Kwa hiyo ziliuliwa kwa kuwa hazikukidhi haja? Na sasa zinafufuliwa ili iweje, mbona zimejaribiwa kufanyiwa hujuma hivi karibuni. Akili za kimasaburi zitakutesa sana lol.
Reli ya kati ilikuwepo miaka yote, malori na mabasi hayapo? serikali imefufua treni ili iongeze mapato yake tu, na wala sio kwamba kuna shida ya usafiri wa watu na mizigo, reli ya TAZARA ipo miaka yote na bado mabasi na malori ya kwenda Zambia yamejaa, acha upuuzi weye
 
Wana Jf,

Katika watu wanaoleta hisia mzito mpaka kufikia hatua ya kutoa machozi ni pale unapoona watu wakishangilia urejeshwaji wa usafiri wa Treni, ufufuaji wa njia nyingi za treni tena nyingine watu walijenga juu yake hata kufika mitalimbo ya chuma kuitumia kama nguzo.

walioshiriki kuua njia hizi ni hizi tawala za Mkapa na Jk, mfano. Mkoa wa Kagera, Katavi bei ya vitu kama sukari, cement , mabati nchi nzima ilikuwa sawa,lakini baada ya kumaliza kujenga barabara ya lami dar- mtukula hujuma mbali mbali zilianza, Mara waangushe treni za mizigo, Mara za abiria. Tulishuhudia watu wengi wakifa, njia hii ikawa sio ya uhakika tena.

jinsi Mkapa na JK walivyosababisha kufa kwa usafiri wa UMMA hilo hawawezi kulikwepa kwani baada ya kufa usafiri wa reli kulijitokeza makampuni mengi ya kusafirisha mafuta, vifaa vya ujenzi, chakula, kila kitu kilipanda mpaka watu walitamani kutumia bidhaa za nchi za jirani.

Haya maroli ndio yanayotesa barabara zetu mpaka Leo, barabara zimekuwa za marekebisho ya Mara kwa Mara huku tukitumia gharama kubwa ambazo zingeepukika.

Hili swala LA kusifia Ccm ya Magufuri kwa kurejesha usafiri wa reli ni LA kushangaza mno kwani waliohua reli hizi wapo. Ifike hatua waliotenda makosa ya makusudi nao washitakiwe angalau walipe gharama kwa makosa waliyoyatenda . Haiwezekani unaua NASaCO, UDA, KIUTA, NMC alafu unaachwa ili watakaofanya kazi ya kufufua ndio waonekane watendaji makini.
Unataka kutuambia wakati Magufuli akiwa waziri wa ujenzi na usafirishaji aliua miundombinu kwa makusudi ili aje kuzijenga wakati akiwa rais, I don't understand.
 
Wana Jf,

Katika watu wanaoleta hisia mzito mpaka kufikia hatua ya kutoa machozi ni pale unapoona watu wakishangilia urejeshwaji wa usafiri wa Treni, ufufuaji wa njia nyingi za treni tena nyingine watu walijenga juu yake hata kufika mitalimbo ya chuma kuitumia kama nguzo.

walioshiriki kuua njia hizi ni hizi tawala za Mkapa na Jk, mfano. Mkoa wa Kagera, Katavi bei ya vitu kama sukari, cement , mabati nchi nzima ilikuwa sawa,lakini baada ya kumaliza kujenga barabara ya lami dar- mtukula hujuma mbali mbali zilianza, Mara waangushe treni za mizigo, Mara za abiria. Tulishuhudia watu wengi wakifa, njia hii ikawa sio ya uhakika tena.

jinsi Mkapa na JK walivyosababisha kufa kwa usafiri wa UMMA hilo hawawezi kulikwepa kwani baada ya kufa usafiri wa reli kulijitokeza makampuni mengi ya kusafirisha mafuta, vifaa vya ujenzi, chakula, kila kitu kilipanda mpaka watu walitamani kutumia bidhaa za nchi za jirani.

Haya maroli ndio yanayotesa barabara zetu mpaka Leo, barabara zimekuwa za marekebisho ya Mara kwa Mara huku tukitumia gharama kubwa ambazo zingeepukika.

Hili swala LA kusifia Ccm ya Magufuri kwa kurejesha usafiri wa reli ni LA kushangaza mno kwani waliohua reli hizi wapo. Ifike hatua waliotenda makosa ya makusudi nao washitakiwe angalau walipe gharama kwa makosa waliyoyatenda . Haiwezekani unaua NASaCO, UDA, KIUTA, NMC alafu unaachwa ili watakaofanya kazi ya kufufua ndio waonekane watendaji makini.
Unajidanganya mkuu hakuna Tajiri anaeishi kama shetani ni masikini yule yule anaendelea na umasikini wake mnadanganywa mnaamini
 
Walibuni mbinu za kupiga hela! Fikiria waliweka ile ruti ya pale mnazi mmoja feri, yani abiria kutoka gongo la mboto unapanda gari mbili hadi unafika feri na unalipa 900,
Ulikuwa upumabvu wa hali ya juu sana
Aisee ile route ilikuwa ya ajabu Sana. Halafu ni UDA tu ndo ziliruhusiwa.
 
Tunahitaji mtandao mpana zaidi wa reli, pia tunahitaji mtandao mpana zaidi wa barabara, hapo gharama za Usafiri zitakuwa nafuu sana
 
Fikirisha akili Nani alikuwa waziri wa ujenzi awamu hizo kwann hakutoa shilingi.
Mbona alishiriki vitu vingi wakataka kumpa sumu mpaka akawejewa ulinzi , Aliaahi kuzuia meli Fulani isipelekwe ziwa Victoria kupitia barabara zetu kwa kuwa mzigo huo weight kubwa ingeharibu barabara
 
acha ujinga, hizo treni hazikuwa na uwezo wa kuhudumia nchi nzima usafiri, zilijengwa na mjerumani mwaka 1908 wakati huo Tanganyika ilikuwa na watu chini ya milioni 8, sasa ivi tuko milioni 54! serikali ipige marufuku usafiri wa mabasi na malori ya mizigo hata wiki 1 tu uone shida itakayotokea, mijitu mingine hizi akili za kitaahira sijui mnatoaga wapi

Mkuu Laki si Pesa kwa juu juu unaweza kusema unapoint lakini kwa mbali wewe ni mjinga kuhusu swala la usafirishaji. Unajua kitu kinaitwa “last mile”?? Reli ina tarrifs za chini ikizingatiwa ni ya serikali. Bidhaa kwenda Mwanza kwa treni ni rahisi kuliko kwa gari!!

Kulikuwa na haja ya kuhimiza usafirishaji wa barabara kukithi mahitaji bila kuharibu reli!! Hakukuwa na haja ya kufifisha reli.

Mwaka 2004 Rwanda ilikuwa tayari kuanza kutumia reli ya kati na wazo ilikuwa ni kujenga reli toka Isaka (Dry Port ya kwanza Tz) lakini iliishia kupewa eneo la Rwanda Dry Port tu. Rwanda na Burundi walisafirisha mizigo yao kutoka Dar mpaka Isaka!! Swala la reli kwenda Rwanda halikuanza leo! Miaka 16 baadae wazo hili linakuja tena!!

Unaweza kuwa na maarifa mengi lakini hufahamu kwa kiasi cha kutosha mada ya jamaa. Yuko sahihi na hata mimi ninayesema haya, ninasema kwa sababu nilikuwa reference (by virtue of my employer) ya TRC ili kuionesha Rwanda TRC ni mshirika sahihi!! Nilishiriki kujibu maswali ya Rwanda kuihusu reli ya TRC. Inaumiza kuona toka 2004 ndoto hii ya kuiunganisha Rwanda haijatimia na tumepata hata changamoto kutoka Kenya.

Usizungumze tena jambo usilolijua vizuri!!
 
Mbona alishiriki vitu vingi wakataka kumpa sumu mpaka akawejewa ulinzi , Aliaahi kuzuia meli Fulani isipelekwe ziwa Victoria kupitia barabara zetu kwa kuwa mzigo huo weight kubwa ingeharibu barabara
Story za vijiweni hizo,naongea na mwenye mbwa kashughulikiwa Hadi kakimbia sembuse kumpa sumu uwe hai?Ujui kwamba ni bingwa wa kutia hasara kwa maamuzi mabovu.
 
Wana Jf,

Katika watu wanaoleta hisia mzito mpaka kufikia hatua ya kutoa machozi ni pale unapoona watu wakishangilia urejeshwaji wa usafiri wa Treni, ufufuaji wa njia nyingi za treni tena nyingine watu walijenga juu yake hata kufika mitalimbo ya chuma kuitumia kama nguzo.

walioshiriki kuua njia hizi ni hizi tawala za Mkapa na Jk, mfano. Mkoa wa Kagera, Katavi bei ya vitu kama sukari, cement , mabati nchi nzima ilikuwa sawa,lakini baada ya kumaliza kujenga barabara ya lami dar- mtukula hujuma mbali mbali zilianza, Mara waangushe treni za mizigo, Mara za abiria. Tulishuhudia watu wengi wakifa, njia hii ikawa sio ya uhakika tena.

jinsi Mkapa na JK walivyosababisha kufa kwa usafiri wa UMMA hilo hawawezi kulikwepa kwani baada ya kufa usafiri wa reli kulijitokeza makampuni mengi ya kusafirisha mafuta, vifaa vya ujenzi, chakula, kila kitu kilipanda mpaka watu walitamani kutumia bidhaa za nchi za jirani.

Haya maroli ndio yanayotesa barabara zetu mpaka Leo, barabara zimekuwa za marekebisho ya Mara kwa Mara huku tukitumia gharama kubwa ambazo zingeepukika.

Hili swala LA kusifia Ccm ya Magufuri kwa kurejesha usafiri wa reli ni LA kushangaza mno kwani waliohua reli hizi wapo. Ifike hatua waliotenda makosa ya makusudi nao washitakiwe angalau walipe gharama kwa makosa waliyoyatenda . Haiwezekani unaua NASaCO, UDA, KIUTA, NMC alafu unaachwa ili watakaofanya kazi ya kufufua ndio waonekane watendaji makini.

Matajiri wakiishi kishetani masikini wamekufa kabisa, matajiri ndio wanaoinua uchumi wa nchi.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom