mchotamaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2015
- 219
- 66
Watanzania hayawi hayawi yamekuwa CCM inakikimbia kivuli chake.Mgombea urais Bw.Magufuli anaishangaa mikataba tena anaiita MIBOVU ya wakubwa zake Mh.MKAPA Na Mh. KIKWETE.Bw.Magufuli ameonyesha mshangao huo wakati akinadi Sera za CCM .
Watanzania CCM ndio iliyoingia mikataba ambayo inalitesa Taiga hili na Wananchi wake.Watanzania wakati umefika wa kuikataa CCM kwani matunda ya nchi yanaliwa na Viongozi wachache na familia zao.Viongozi hao wanajichukulia Mali za watanzania na kuishi maisha ya PEPONI.
Watanzania CCM ndio iliyoingia mikataba ambayo inalitesa Taiga hili na Wananchi wake.Watanzania wakati umefika wa kuikataa CCM kwani matunda ya nchi yanaliwa na Viongozi wachache na familia zao.Viongozi hao wanajichukulia Mali za watanzania na kuishi maisha ya PEPONI.