CCM ya Magufuli ni ya kijima kweli kweli: Hivi unamkataje Stephen Masele, Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African, chombo muhimu cha AU?

Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!
Kuna jambo wanaCCM wanatakiwa kulielewa na waonyeshe kwamba wamelielewa. CCM inajisuka upya, CCM inafanya overhaul inataka Taasisi kuwa kubwa kuliko mtu.

Na ili Hilo litimie maumivu hayatakoma mpaka wanataasisi waelewe Hilo.

Ni Kama ambavyo katika Serikali yake alitimua timua Ila watu bado wakawa hawajamuelewa Ila alipomtimua Mkurugenzi wa Taasisi Ogopwa Viongozi serikalini wakajua kwamba sasa muda wa masihara kweli hakuna.
 
Kuna jambo wanaCCM wanatakiwa kulielewa na waonyeshe kwamba wamelielewa. CCM inajisuka upya, CCM inafanya overhaul inataka Taasisi kuwa kubwa kuliko mtu.

Na ili Hilo litimie maumivu hayatakoma mpaka wanataasisi waelewe Hilo.

Ni Kama ambavyo katika Serikali yake alitimua timua Ila watu bado wakawa hawajamuelewa Ila alipomtimua Mkurugenzi wa Taasisi Ogopwa Viongozi serikalini wakajua kwamba sasa muda wa masihara kweli hakuna.
CCM ya sasa ni ya amri ya mtu mmoja, kuumia ama kupona inategemea ameamkaje. Kwa sasa wala siyo taasisi tena.
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!
Acha majungu wewe BAVICHA

Magufuli amemuwezesha yule binti wa Mzee Malecela kupata ukurugenzi huko WHO sababu zikiwa ni chuki za kishamba za Jiwe.
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!
Unamjua Masele kuliko Magufuli wewe?Alipokuwa Harvard unaju alikutana na akina nani,je kama ni kibaraka unajuaje?Ukiona Rais wa nchi amefanya kitu hoji kimya kimya kwanza, ukiona kuna kitu kiko nje ya uwezo wako nyamaza,utaonekana wa busara zaidi.Mwenzio ana vyombo vingi nyuma yake,wewe una nini?
 
Masele Ni Afisa Kipenyo Huyo wanajuana wenyewe kwà wenyewe nyie tafuteni Ngawila tu mle na Familia zenu Haya masuala yatawachosha tu
afisa kipenyo
download.jpeg
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!
Inategemea mwenye chama ameamkaje ? Si alishasema anatumia kanuni hii milkshake
Screenshot_20200822-123505.png
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!
Hawa vijana,bure kabisa,wamemwangusha Mkuu,
Makonda,Ali hapi,DC wa hai,RC Chalamira,Kafurila,
Vijana wengi waliopewa madaraka,wameweka tamaa mbele,wizi,kujilimbikizia Mali,ubabe wa kijinga,show off nyingi,hakuna wanachoweza kuonyesha kwamba wamefsnya kusaidia vijana wenzao,Mavunde,tangu awe Mbunge,pale Dodoma,hataki kabisa kukutsna na vijana,alishindwa hata kusaidia vijana wapate unafuu wa Kodi ya Mambo poa Gym,
Wananchi wa Ihumwa,wamezulumiwa ardhi,malipo kiduchu ,hakuwahi hata kwenda kuongea nao,ni mbwembwe tu,za ujana,
Ukiacha waziri Biteko,Jafo,Lukuvi,mawaziri wengine vijana,ni pumba tupu,
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!
Masele?,eti masele yeye ni nani amekatwa chenge itakuwa masele
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!
Kaanzishe chama umteue wewe
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!
Amesoma harvard akaishia kua meneja wa tigo mwanza?
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!
Magu hapendi watu genius, anawaonea wivu
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!
Maguzo ni jipu, period!
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!

Leta faida 5 zilizopatikana kwa nchi baada ya kuwa makamu ya hilo bunge ili tuendelee kujadili
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!
Ila hili la MASELE japo sio mtu wa siasa lakini ni Kijana machari sana , kama ana mapungufu ni kurekebisha kidogo, kichwa kiko safi sana ni internation figure. kama tume m silence basi tena.
Na yeye aweza kuwa na dharau kiasi kwamba hakukubalika kwao ,Why Wajumbe wamkate?
Nadhani miongoni mwa nafasi 10 za Mheshimiwa atamchukua maana naye yuko safi huwa anachunguza kwa undani zaidi'
La mwisho Kama amesoma Havard University ambayo nilipata admission nikakosa sponsor na connection tokea kijijini, tena amesoma huyu jamaa King Maker . ZIMO
 
Back
Top Bottom