CCM ya Magufuli ni ya kijima kweli kweli: Hivi unamkataje Stephen Masele, Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African, chombo muhimu cha AU?

CCM ndio inajielewa Sasa inatudhihilishia wananchi kuwa siyo Mali ya mtu/watu fulani. Kuna genge moja la kisiasa ukishakuwa maarufu tu wa kutukana tukana hovyo wewe ndo unakuwa ushajihakikishia utawala wa kudumu kugombea ndani ya Chama Tena utapitishwa kwa kura za ndio na Hapana utafikiri wanachagua mwenyekiti wa TANU.

CCM itaendelea kuwa kioo Cha siasa nchini na taasisi inayoendesha vyama vyingine nchini. Ukitaka kuamini Hilo CDM ipo tayari hata kumuengua mgombea wake ili tu kigogo aliekatwa kutoka CCM apewe yeye kugombea.

Rubish kioo cha kupitisha hao akina gwajiboy na mavieo yao ya ngono mitandaoni. Aibu napata mimi hicho chama kimekwisha kinatuletea aibu watu wa kawe kwakweli. Halafu unaonekana hujasoma contents za uzi umeanzio mipasho badala ya kusoma uelewe nini kinaongewa Mr. Masele anajitambua na kujiheshimu sana ni mtu makini sana ndiyo maana walimchagua awaongoze hilo bunge la Africa. Huko wanachagua mtu mwenye uwezo kutompitisha ni makosa makubwa. Kuna siku atakuja kuinuliwa kwakuwa ni mtu muadilifu asiye na makandokando kama wengine wapenda mapambio.
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!


HUyu Jmaaa anabifu na Ndugai nakumbuka.
 
Ila hili la MASELE japo sio mtu wa siasa lakini ni Kijana machari sana , kama ana mapungufu ni kurekebisha kidogo, kichwa kiko safi sana ni internation figure. kama tume m silence basi tena.
Na yeye aweza kuwa na dharau kiasi kwamba hakukubalika kwao ,Why Wajumbe wamkate?
Nadhani miongoni mwa nafasi 10 za Mheshimiwa atamchukua maana naye yuko safi huwa anachunguza kwa undani zaidi'
La mwisho Kama amesoma Havard University ambayo nilipata admission nikakosa sponsor na connection tokea kijijini, tena amesoma huyu jamaa King Maker . ZIMO
Tunataka national figure kwanza international badae,
Kwa hiyobtika kawa mbunge hapo shy amefanya nini au ametoa hoja gani yenye maslahi kwa taifa?
 
Tunataka national figure kwanza international badae,
Kwa hiyobtika kawa mbunge hapo shy amefanya nini au ametoa hoja gani yenye maslahi kwa taifa?
Mational figure ni nani ambaye hawezi kusema ktk viwango vya kimataifa?
Shy amefanya nini wanajua wana shy lakini maendeleo mengine ni indirect, hawezi kuja na hela kila mtu ampatie ila aweza kusababisha sera za kupata hela kitaifa.
Mi Loli modo wangu ni Chenge
 
Mational figure ni nani ambaye hawezi kusema ktk viwango vya kimataifa?
Shy amefanya nini wanajua wana shy lakini maendeleo mengine ni indirect, hawezi kuja na hela kila mtu ampatie ila aweza kusababisha sera za kupata hela kitaifa.
Mi Loli modo wangu ni Chenge
Kumbuka 2015 alipita kwa mbinde sana sasa usidhani ukihonga CCM unaweza kuhonga na wananchi.
Ina maana bado hajatoa ushirikianao na jimbo lake.
Pia ujue anaweza kupitishwa na CCM lakini wananchi wakamtosa sasa hapo huko bunge la africa aatafikaje?
Hilo ni swali nimekuachia?
 
Kumbuka 2015 alipita kwa mbinde sana sasa usidhani ukihonga CCM unaweza kuhonga na wananchi.
Ina maana bado hajatoa ushirikianao na jimbo lake.
Pia ujue anaweza kupitishwa na CCM lakini wananchi wakamtosa sasa hapo huko bunge la africa aatafikaje?
Hilo ni swali nimekuachia?
Niliweka kuwa labda ana dharau au kutokubalika. Mbona wajumbe wamemkata?. Ila ni kijana mzuri mengine wawe molded, ndio maana ya kuandaa viongozi. Hawa ni watoto wadogo wanahitaji miongozo
 
Masele hafanyi kazi kwa maslahi mapana ya nchi Spika aliyekuwa Masele akimpiga Vita hamjui vizuri kuwa Ni msimamia maslahi ya Tanzania yeye akawa anamponda asiyemjua vizuri

To hell na umakamu wake mjinga mkubwa Masele mtu gani asiyejielewa na asiyeelewa Nani Ni Nani

Tanzania haijawahi pata mwakilishi wa Bunge la Pan African mjinga Kama Masele
 
Ila katika wanaume wanaojiamini na wenye misimamo thabiti Masele hiachi kumtaja...nikikumbuka lile sakata lake dah...handsup!
Masele hufai kuwa ccm..wewe ni akili kubwa!

Hamna kitu hapo , akili kubwa ya nini na wapi? Hawa ndio walikuwa vikaragosi vya Vasco Dagama sasa JIWE anavisambaratisha!! Huyu enzi ya Vasco Dagama alikuwa boi wa mwanae.
 
Nimekuelewa, ni kweli diplomasia ya nchi hubadilika kulingana na wakati, lakini si kwa kiwango cha kumfitini mzawa ili akose vyote, maana si kwamba unamkomoa yeye tu bali ni hasara kubwa kwa nchi.

Masele ni kijana mwelewa na anasikiliza wazee, ikiwa wanaona aliwakosea kibinafsi ni kiasi cha kumuita tu na kumweleza ajirekebishe, lakini kutumia interest binafsi kuangamiza taifa nao ni uhujumu uchumi na si utawala bora kwa nchi.
Hoja ni masele au maslahi ya taifa...kamanda aneshindwa majukum mstari wa mbele hurudishwa nyuma akajitafakari wakati wenzake wanapiganisha vita ,jemedari atakapomuona anastahili kupewa kamandi vitani atapewa ila si lazima iwe ile aliyoharibu mwanzoni...
Kuendelea kuwa na kamanda mmoja wakati wapo makamanda wengine damu inachemka nao wanasubili nafasi waonyeshe umahiri wao vitani sidhani km ni busara...je ikatokea kamanda huyo akafa vitani ndo unaenda kujaribu wengine au?
Bahati mbaya adui akajua madhaifu ya kamanda wako unatarajiaje...andaa makamanda wengi adui asijue km unayempenda zaidi ni kamanda flani.
Asante
 
Tangu aingie madarakani Rais Magufuli amevuruga diplomasia ya nchi yetu kwa kiwango cha hali ya juu kuliko wote waliomtangulia.

Kipindi cha Baba wa Taifa, Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa maarufu sana katika diplomasia ya kimataifa huku yeye mwenyewe akiheshimika duniani lakini pia tulikuwa na vijana wake mfano wa Salim Ahmed Salim waliomsaidia kuimarisha mahusiano ya kimataifa.

Mzee mwinyi naye hakuwa nyuma kwenye ushirikiano wa kimataifa, kipindi cha mzee huyu ndipo Salim Ahmed Salim alitumika kama Katibu Mkuu wa OAU (1989–2001), Rais Mwinyi na serikali yote ilimuunga mkono na kumtia nguvu. Hayati Mkapa alifufua Jumuiya ya Afrika Mashariki, pia alimsapoti Salim, kipindi chake pia kulikuwa na Watanzania wengi waliokuwa wanafanya kazi kwenye jumuiya za kimataifa wakiiwakilisha vema nchi yetu na kuitangaza.

Rais Kikwete alimtoa na kumpa sapoti ya nguvu Asha-Rose Migiro kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wengine wengi.

Sasa njoo kwa huyu, sidhani hata kama kuna mtu amemuwezesha kuwepo kwenye ngazi za kidunia akifanya kazi na kuitangaza nchi yetu. Kama kukiwa na mtanzania kwenye jumuiya za kimataifa basi yaweza kuwa ni juhudi binafsi ama wao ndiyo wamemuona lakini hakuna sapoti kabisa kutoka kwa Rais Magufuli. Zaidi zaidi anawaona waliobahatika kupata uongozi jumuiya za kimataifa kama wasaliti na mawakala wa anaowaita mabeberu.

Kipindi hiki kumekuwa na kijana Stephen Masele msomi mzuri aliyepata elimu bora kabisa kwenye vyuo vikuu vya nje kikiwamo Chuo Kikuu bora kabisa duniani cha Harvard, kijana huyu amekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Pan-African tangu 2018 akiiletea sifa kemu kemu Tanzania.

Kwa kutokuona umuhimu wa Tanzania kuwa na mtu kwenye chombo hiki muhimu kabisa cha AU, CCM ya Magufuli imemkata kwenye nafasi yake ya kugombea ubunge kupitia jimbo la Shinyanga Mjini. Na kwa kuwa ili uendelee kutumika kama Makamu wa Kwanza wa Rais Bunge la Pan-African ni lazima uwe mbunge kwenye nchi yako, hivo basi Kijana Masele na nchi imepoteza fursa adimu na adhimu kabisa.

MLALE SALAMA!
Idadi kubwa ya waafrika wanaograduate Havard hawana maslahi kwa bara lao bali wanapikwa kwa long term plans za kuendeleza mikakati ya wazungu dhidi ya Afrika....

Wake up
 
Idadi kubwa ya waafrika wanaograduate Havard hawana maslahi kwa bara lao bali wanapikwa kwa long term plans za kuendeleza mikakati ya wazungu dhidi ya Afrika....

Wake up
Hiyo ni kulingana na mtazamo wako tu haina ukweli wowote.
 
Rubish kioo cha kupitisha hao akina gwajiboy na mavieo yao ya ngono mitandaoni. Aibu napata mimi hicho chama kimekwisha kinatuletea aibu watu wa kawe kwakweli. Halafu unaonekana hujasoma contents za uzi umeanzio mipasho badala ya kusoma uelewe nini kinaongewa Mr. Masele anajitambua na kujiheshimu sana ni mtu makini sana ndiyo maana walimchagua awaongoze hilo bunge la Africa. Huko wanachagua mtu mwenye uwezo kutompitisha ni makosa makubwa. Kuna siku atakuja kuinuliwa kwakuwa ni mtu muadilifu asiye na makandokando kama wengine wapenda mapambio.
.
Wewe ndo hauna Akili kwa kumunanga gwajima kuhusu kufanya ngona wakati wewe Kila siku unogonoka kufanya ngono hata hiyohiyo ngono ndo imetuleta duniani sote.

Au ndo unataka kutuaminisha hapa kuwa wewe Ni bikra siyo?
Kwa mtu anaejielewa hawezi kumuhukumu mtu kwa kitendo ambacho hata yeye anakifanya Kila siku.
 
Back
Top Bottom