Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
Nani kaingizwa mjini?
CCM mnamtesa Rais wetu, mnaigiza kuipenda...mnajionesha machoni mwa watanzania mnamsifu, kwamba ni Rais wa kipekee kutoka kwa #Mungu, kumbe majumbani mwenu mnachekelea na kujisifu wenyewe mnavyopiga #Madili kiulaini kwa kumpaga mafuta kwa mgogo wa chupa.
Huu ndio #Uzalendo wa kiccm kuisifia ccm chini ya Dkt. JPM huku unatafuna Mali za nchi bila aibu. Rais amekuwa akirudia rudia ukiona unapingwa sana jua umewazidi lakini amekuwa akifurahia kusifiwa kuliko kukosolewa, anasahau wanaomsifia wengi wao wanajenda zao kama hizi za kumuingiza mjini.
Wanaomkosoa Rais si wahaini, si wasaliti, kwani wanalenga kumnasua na mfumo wa ccm wa kutafuna nchi.
CCM lenu ni moja, kama mtembea na ILANI ya ccm anadiriki ku-forge mambo vipi wasiojua hata Dibaji ya ilani yao? Ccm OYeeeee!