Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,216
mubashara
Sizonje anawaambia maRC nchini waige mambo ya huyu jamaa! Kweli ukisukumiziwa tuu bila kupimwa unaweza kupendekeza Nguza babu Seya awe shehe mkuu Dar
mubashara
hahaha akili za kushikiwa changanya na mbayuwayu kwakweliSizonje anawaambia maRC nchini waige mambo ya huyu jamaa! Kweli ukisukumiziwa tuu bila kupimwa unaweza kupendekeza Nguza babu Seya awe shehe mkuu Dar
Nashukuru ndugu yanguNIMEPENDA MANENO YAKO YA HEKIMA MKIWA KUMI KAMA WEWE HUMU JF ITAKUWA OK
Sijawahi ona wahaya lijinga kama wewe.... Maybe unetumia id hiyo bila kujua ama siyo yako...hahhahaha sasa video za Mbowe hadharani hahaha
Baba yako Wassira, ambaye naamini ana akili zaidi yako alishatabiri hilo miaka mitano iliyopita ila yeye ndio kapukutikaNimesema sana na nitaendelea kusema kuwa, CDM sio chama makini ila ni SACCOS iliyo makini sana katika kukusanya mipesa, kuomba sadaka na kula LUZUKU
Zooteee hizo ni dalili mbbbaaayyaaa za kuanga maahindano ya SIASA
Ndio nini sasa? Ni kweli upo nje ya topic hadi sasa! Au ulikuwa mahali pa kuyatumia maneno ya mgambo na karai?Mbona mleta thread ambaye ni mgambo amenielewa kitambo, wewe " karai" kuelewa siyo jukumu lako!
Broo this is real TSUNAMIBaba yako Wassira, ambaye naamini ana akili zaidi yako alishatabiri hilo miaka mitano iliyopita ila yeye ndio kapukutika
Wekeni bandiko la mange mbona mnazunguka zunguka mbuyu!?
Dunia imeishaAtasema Mbowe ndiye kakata seal yake.
Aaah wapi? Chadema sio chama cha watu mdebwedo kama kina Sadifa, ni kuwa wana upole tuu ila wakitaka kulianzisha hakuna wakuwazuiaBroo this is real TSUNAMI
Waanzishe nini na wapiAaah wapi? Chadema sio chama cha watu mdebwedo kama kina Sadifa, ni kuwa wana upole tuu ila wakitaka kulianzisha hakuna wakuwazuia
Hachelewi kusema ametongozwa na Mbowe akaataa ndio maana amehama.
Kurejea CCM akitokea CHADEMA kumemtia hofu Mwenyekiti wa CHADEMA, freeman Aikaeli Mbowe akihofia msanii huyo kuvujisha siri ambayo mpaka sasa hakuna anayejua ni siri gani hiyo.
Hali hiyo imepelekea vijana wake katika mitandao ya kijamii kuanza kutapatapa huku na kule kuandika kila wanaloona litaweza kumnyamazisha Mwanadada huyo Machachar.
Mange Kimambi na Kwinyara Kwinyara wmeposti picha Wema Sepetu wakiwa na RC Makonda na kiweka maneno kuwa Wema ataandaliwa mkutano na CCM ili asememe kuwa Mbowe almbaka na kufanya naye Mapenzi. Swali la kujiuliza ni je huyo Wema yeye anafurahia Kubakwa na kujitangaza?
Leo tena mtumiaji wa akaunti ya Mwanahabari Huru kwenye mtandao wa jamiiforums ameandika vivyo hivyo kuwa Wema ameandaliwa mkutano na CCM ili aseme uongo kuhusu Mbowe ili kesi zake za Madawa ya kulevya zifutwe. Huku kote ni kutapatapa tu.
mytake: MBOWE na CHADEMA kwa ujimla mna hofu ya nini kama. kweli mnachokihofia hakina ukweli wowote? Mwacheni Mwenyekiti apambanne na hali yake, hayo ni masuala binafsi. Mbona wakati wanakaa front line Mahakama, misibani kama mke na. Mume hamkusema? Acheni porojo za kutaka kuwaingiza akina Makonda kwenye mambo ya Mbowe na Wema, wakati ana fly kwenda KIA hamkuwepo
Kuna somo kutokana na suala la Wema na Mbowe. Wanasiasa mnapaswa kutojiachia asilimia mia moja katika masuala binafsi mkayahusianisha na siasa.
CCM: Wema Sepetu kuandaliwa vyombo ya habari ashinikizwa kuzungumza ili Kesi yake ya madawa ya kulevya ifutwe
Freeman Mbowe na Wema Sepetu ndani ya penzi zito
Mods Tafadhali msiondoe uzi huu ili wajue kiini cha hizi porojo ambazo vijana wa BAVICHA wanataka kuendesha kuhusiana na issue ya Mbowe na Wema
Nitokee hapa shobo tuKiumbe anayemlaani mwenzie, Mungu humlaani yeye mara elfu moja.
Pole sana.
Shobo unazo wewe kumpa laana mtu asiyejua hata kama a thing like you exist.... lolNitokee hapa shobo tu