R. I. PMuacheni dada wa watu apumzike
Baby come to Arusha please....!!!!!!Habari zilizotufikia Meza ya Mwanahabari Huru Ofisini Kwetu Mwembe Yanga zinatanabaisha Msani Wema Sepetu ametakiwa na CCM kuzungumza na vyombo vya habari ili kusema uongo jinsi alivyoteswa na kudhalilishwa na CHADEMA ili kesi yake ifutwe ile ya madawa ya kulevya na kitendo hiki cha kuzungumza na wandishi wa habari kitafanyika mara moja wiki hii
Tunaendelea kuwaletea taarifa
Kahaba anatongozwa?Hachelewi kusema ametongozwa na Mbowe akaataa ndio maana amehama.
kule insta nimeona kapost picha yake yeye na bashite inaweza kuwa kweli
Au alinitaka ki nguvu kanitishia kunibaka ndo nikarudi ccm, wema akili mbovu anapelekwa kama gari bovuHachelewi kusema ametongozwa na Mbowe akaataa ndio maana amehama.
Kitu kinatia uchungu sana nchi ni sehemu tuliyofika, sitaki ku imagine miaka ile ya 80 mpaka 90 au 2000 siasa ilikuwa ni watu serious hawa sijui kina Wema hata kutia unyayo tu katika mambo ya msingi wasingeweza. Leo chama kikubwa chenye history kubwa inamuongelea Wema au kumtumia kugain mileage ya kisiasa kweli tuko very low ni kama tumeishiwa au hatujui tunataka nini kwa hiyo kuwadanganya wananchi kwa mambo ya kipuuzi. na simuongelei Wema tu ni sanaa yote ya Movie siju na mziki.
Tuko very low to this point yaani tumekuwa kama magazeti ya udaku na siasa zimeingia udaku. hebu vyama mjitafakari upya je ni kweli hamna sera za kutangaza kwa ajili ya maendeleo baki mnatatumia mipasho na udaku.
Zamani ukisikia CCM wamekaa vikao ujue ni watu serious lakini leo hata kina Mpoto muhimu tu. watu wamehamia chama juzi tu wanapewa majukwaa ya kuongea katika mikutano mikubwa tu ya chama. ukweli vyama vyote tu haviko serious wamegeuka mipasho na udaku.
Wema atasaidia nini au ana mchango gani ikiwa maisha yake tu kashindwa kuyaweka sawa, please rudisheni nchi katika mstari tuwe serious katika mambo ya msingi na udaku waachieni shilawadu.
Hachelewi kusema ametongozwa na Mbowe akaataa ndio maana amehama.