Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Habari zilizotufikia Meza ya Mwanahabari Huru Ofisini Kwetu Mwembe Yanga zinatanabaisha Msani Wema Sepetu ametakiwa na CCM kuzungumza na vyombo vya habari ili kusema uongo jinsi alivyoteswa na kudhalilishwa na CHADEMA ili kesi yake ifutwe ile ya madawa ya kulevya na kitendo hiki cha kuzungumza na wandishi wa habari kitafanyika mara moja wiki hii
Tunaendelea kuwaletea taarifa
Tunaendelea kuwaletea taarifa