Kombati ni vazi lenye radha na heshima yake ndiyo maana hata CCM waliota usiku na mchana
ladha yake ni khaki
ladha yake ni khaki
Mnnn....kumbe walitamani sana hii kitu! Spika bungeni mara oh cdm mnatutisha mara oh mko kama mgambo wa jiji. Sasa ni wakati wa vijana kuvaa gwanda.
uwezo wa kufikiri wa ccm umefikia mwisho wanadhani chadema imependwa kwa kombati za khaki tu
Jifariji na na hizo unifom za mgambo za chademauwezo wa kufikiri wa ccm umefikia mwisho wanadhani chadema imependwa kwa kombati za khaki tu
Huyu anamzuka wa kuhamia chadema anajipooza nafsi tu kwa kutinga hizo gamba
Kumbee walikuwa wanalimezea mimate gwandaaa., sasa ndio wamevaa gamba kweli kweli! Kijani?!
hamna lolote nyei waasisi wahayo makombat ni ccm,angalia chipukiz ndo utajua kama ccm wameiga au la