OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Kampeni za uchaguzi wa mwenyekiti wa jumuhia ya wazazi ya CCM Taifa jana zilihitimishwa kwa masumbwi baada ya kuhibuka vurugu kwenye baa ya chako ni chako na kusababisha baadhi ya watu kujeruhiwa vibaya na magari ya wagombea kuvunjwa vioo.Uchaguzi huo ,ambao umehairishwa karibu mara tatu,unafanyika leo kwenye ukumbi wa jengo la makao makuu ya chama hicho
vurugu zilitokea baada yaThomas Ngawahiya mwenyekiti wa wazazi mkoa wa kilimanjaro (Ngawahiya amaye aliwahi kuwa mbunge kupitia chama cha TLP) kuombaa apewe angalahu kitu kidogo (rushwa ya bia na kuku wa kuchoma ) ili abadili msimamo wake wa awali wa kumuhunga mkono mzee mhina,kahuli hiyo ilimuhudhi kada maarufu wa CCM Emanuel Nzungu ambaye ni mwenyekiti wa wazazi,Nzungu alisikika akisema ""wewe Ngawahiya tumekukaribisha tu,hivyo hutakiwi kuomba rushwa unakidhalilisha chama chetu,Tafadhali ishia hapo, Nzungu aliendelea kumshishia madongo '''Tuachie chama chetu sisi tunakipenda na tuna uchungu kuona unakidhalilisha kwa kuomba bia na kuku
vurugu zilitokea baada yaThomas Ngawahiya mwenyekiti wa wazazi mkoa wa kilimanjaro (Ngawahiya amaye aliwahi kuwa mbunge kupitia chama cha TLP) kuombaa apewe angalahu kitu kidogo (rushwa ya bia na kuku wa kuchoma ) ili abadili msimamo wake wa awali wa kumuhunga mkono mzee mhina,kahuli hiyo ilimuhudhi kada maarufu wa CCM Emanuel Nzungu ambaye ni mwenyekiti wa wazazi,Nzungu alisikika akisema ""wewe Ngawahiya tumekukaribisha tu,hivyo hutakiwi kuomba rushwa unakidhalilisha chama chetu,Tafadhali ishia hapo, Nzungu aliendelea kumshishia madongo '''Tuachie chama chetu sisi tunakipenda na tuna uchungu kuona unakidhalilisha kwa kuomba bia na kuku