CCM wawatikisa CHADEMA Houston wajikuta wapo wawili tu mkutanoni

Yaani kuna watu bado wako Marekani lakini mawazo yao ni yakijinga kama huyu jamaa aliyeleta hii topic, Eti CHADEMA walitaka kuharibu mkutano wao... huyu jamaa ajiulizi miaka 50 yote ya uhuru bado mnajenga!

Huku kutukuza tukuza marekani ndo kunasababisha wamarekani waje wapore ardhi yetu na kutuacha wananchi hatuna la kufanya huku baadhi yetu wakishangilia "wamarekanai welevu welevu eeeh ....!!"
 
hapo nyinji ni washenzi tu hapo etio yupo smat kwa lipi mbona alishindwa kututumikia cc watanzania akaona ukuu wa wilya hauna pesa akaona ni bora aende kuwa katibu wa itikadi kwenye safari rukuki hihi unajua akifika huko na akikaa siku mbili anamaliza shi kila siku $ 6000 kila siku acheni siasa tuu kijana anakula hela balaa subirini novemba hii watu watakavyo konda baada ya mkutano mkuu wa ccm kuna makonde yatokea tu Kama rais wa Miss Utali kule dodma
 
user-online.png
Mikole007
Today 03:46
#1


Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 16th June 2011
Posts : 10

Rep Power : 0






user-online.png
Nipe tano
Today 03:58
#7


Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 16th June 2011
Posts : 58

Rep Power : 21






user-offline.png
zamwamwa
Today 04:07
#10


Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 16th June 2011
Posts : 11

Rep Power : 0












Kweli nape amewaweza,hata joine date yenu humu ina mana ni siku moja???kweli nape yuko kazini.







NIamini hapa ni JF ni greater thinkers kiukweli kabisa watu manatafiti kiundani

Mkuu anainaonyesha wazi kuwa walishauliwa wajoin JF na wapost hizi post zao zaidi angalia posting time


This could be the same person in three ids
 
Nape anaongea sasa hivi na Watanzania wa Houston hapa. Chadema walitaka kuutumia mkutano wetu ambao unalengo zuri la kujenga nchi yetu wakajikuta wapo wawili tu. Tunashukuru kikao kinaenda vizuri mambo ya siasa yameisha watu wanachangia vizuri na Watanzania waliochangia mpaka sasa wanajenga hoja nzuri sana za kuijenga nchi. Nitaendelea kuwajuza kila kinachoendelea.
Ndugu yangu usidhani marekani ni Tanzania. Naomba utoe hoja ilitujadili. Sidhani kama Nape alienda Houston kuhesabu wanachadema ni wangapi. Tafadhali acha ukada ambao hausaidii watanzania walalahoi walio wengi.
 
Teh! So give us the details. Tuambieni kilichoongelewa na hayo makubwa mliyoyaona yanayowatia matumaini kiasi hicho. Yawezekana kuna maajabu yanakuja with regard to the CCM new generation. SIjali chama, najali mikakati inayotekelezeka. Dola Vs Shilingi mmeona ilipo!?
 
Nilipata nafasi ya kuona clip ya mkutano ule wa Nape pale Houston. Kwanza kabisa napenda kumpa pongezi nyingi sana Nape kwa kuwa ni mmoja kati ya viongozi wachache wa Tanzania ambao wamethubutu kutia mguu Houston. Katika sehemu zote ughaibuni ambazo watanzania wanaishi, Houston imekuwa na umuhimu wake kutokana na kuwepo watanzania wengi ambao wapo katika mirengo tofauti lakini mwishowe huibuka kama watu wenye nguvu na ushawishi mkubwa sana kisiasa na kijamii.

Maongezi ya Nape yalijikita zaidi kusikiliza masuala na ushauri mbalimbali kutoka kwa watanzania na kuweza kuwapa ufafanuzi kwa yale ambayo yalikuwa ndani uwezo kuyajibu na pia hakusita kuyachukua mengineyo ambayo yalikuwa yanahusu maeneo na kuahidi kuyafikisha katika sehemu zile husika na kuahidi kufuatilia majibu. Pia aliweza kupokea ushauri mbalimbali kwa lengo la mawazo hayo kusaidia katika kujenga na kusuma mbele gurudu,u la maendeleo ya taifa letu.

Haya hivyo nilivutiwa sana hasa pale alipohimiza wanasiasa wa upinzani kujenga uvumilivu ndani ya vyama vyao badala ya kuwa wepesi kuvihama vyama hivyo na kukimbilia CCM. Aliwaasa hasa vijana kuwa na misimamo thabiti itakayosaidia kujenga nchi yetu na kurithisha vizazi vijavyo Tanzania yenye amani na neema tele.

Nilipata nafasi ya kusikia juhudi zake alizozifanya kwa muda mfupi akiwa DC pale Masasi, ni wazi kabisa vijana tunatakiwa tunapopewa nafasi za uongozi tuwe waadilifu na wachapa kazi bila ya kujali itikadi za kisiasa. According to maelezo yake aliweza kuwaunganisha wananchi wa masasi watambue kuwa hatima ya maendeleo yao inawategemea wana masasi wenyewe, aliwahimiza kila mwenye uwezo wa kufanya kazi afanye hasa kilimo. Nilifurahishwa kwamba hakuhubiri au kuhimiza hayo kwa maneno tu, kwani alikuwa wa kwanza kutafuta shamaba na kuanza kulima ili kuonesha mfano. Hili ni jambo la kuigwa sana kwani viongozi wengi wanadhani kuhimiza peke inatosha bali mfano ni muhimu sana.

Nimeitafsi ziara ya Nape kama sehemu moja muhimu ya kuwataka watanzania waelewe kuwa pamoja ya kwamba wananishi nje ya nchi lakini utanzania wao bado ni muhimu kwa nchi yao na viongozi wanajitahidi kuwaunganisha. Kwa mtazamo wangu, ningependa kuona viongozi mbalimbali ambao wanafika sehemu kama Marekani na kwingineko wanapopata nafasi wawafikie na kuongea watanzania wenzao na kubadilishana uzoefu baina ya pande mbili.

Mwisho, Tanzania kama taifa ni lazima liwe na viongozi ambao wataaminiwa kupewa dhamana ya kuongoza, mimi binafsi sina shaka na uwezo wa Nape na yale anayoyasimamia. Tunajua baadhi ya matatizo ya nchi yetu ni pamoja na rushwa na uwajibikaji, nina hakika kwa haya na mengine ambayo Nape ameamua kuyapa kipaumbele akiungwa mkono na wapenda haki na maendeleo wengine tutaweza kuona chama kikiiwajibisha serikali yake kutimiza yale iliyoahidi wananchi wakati wakuomba kura kwenye uchaguzi kupitia ilani yake. Nape simamieni serikali ya CCM iweze kuwatumikia wananchi kama ilivyoahidi.

Kama hayo juu umeandika mwenyewe na sio Nepi in disguse you might be suffering from intellectual dwarfism. How can a person in one's own senses amwamini mtu kwa kusikian anayosema siku moja. Yaani kipindi hiki kifupi alichokuwa dc huyo ndiye anakwambia kafanya maajabu ya kupigiwa mfano?? Ni kupitia mipango ya muda mfupi au mrefu. Dc ndiye anayeandaa mipangy ya maendeleo? Masasi hali ikoje kiuchumi na kiutamaduni? No research no right of speech. Kafanye utafiti ndio uje uchangie la sivyo usiandike chochote. Je ungeambiwa na Nepi yeye ndio mme wa mama yako au dada yako ungeandika hivyo. Think biG. Make use your exposure to expand frontiers of your thanking even if you are there doing dirty jobs that civilised Americans cannot do
 
Back
Top Bottom