Habari zilizotufikia hivi punde kutoka kwa wasamaria wema ambao wamepewa kadi feki pamoja na elfu thelathini kila mmoja hili wakampigie kura mgombea udiwani wa ccm bw emmanuel laizer na kadi hizo ninazo na sasa ndo tumeita waandishi wa habari hili tufanye press,sikiliza sun rise radio na radio five muda si mrefu.mchezo mchafu wa nchemba