Ukiwasaidia hao watasahau haraka sana na 2015 watapewa tena vi t-shirt na kofia. Bora kuwaacha hapo wasote mpaka kila mtu afike kwake kwa nguvu zake mwenyewe. Kweli Tanzania bado sana.Okay, here is a suggestion: CDM wachangamkie kuwasaidia hawa watu kurudi makwao. Ili wakifika vijijini wakasimulie jinsi CCM ilivyowapeleka mjini na kuwatekeleza, hadi chama kinachojali watu cha CDM kilipojitolea kuwasaidia kurudi nyumbani.
Hakika CDM itavuna mara dufu!
Dada Leticia changamkia hii tenda ya wanaoenda Kwimba, mtaji wa imani for 2015.