James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Kuna video clip inayosambaa ikimuonyesha mwanachama wa CCM akitangaza nia yake ya kuwapiga viboko viongozi wa upinzani huku akishangiliwa na wanachama wenzake.
Kitendo hiki na matukio mengine kama ya kushambuliwa msafara wa Lissu inaonyesha dhamira ya CCM kwenye Uchaguzi huu.
Swali ninalojiuliza ni kwamba, je wapinzani wataendelea kuvumilia?
Video: Mwanachama wa CCM akitangaza nia ya kuwashambulia wapinzani kwa viboko
Kitendo hiki na matukio mengine kama ya kushambuliwa msafara wa Lissu inaonyesha dhamira ya CCM kwenye Uchaguzi huu.
Swali ninalojiuliza ni kwamba, je wapinzani wataendelea kuvumilia?
Video: Mwanachama wa CCM akitangaza nia ya kuwashambulia wapinzani kwa viboko