Tanzania hakuna upinzani, vyama vyote ni makundi ya CCM.
?Kasome vizuri somo la CIVICS wewe.
Ukiruhusu CCM wakatia mkono kwenye chama chenu na mkaruhusu unafiki basi ujue mmekwkisha,CUF wamebakiza jina tu hao NCCR wamebakia wale wabunge wa mkoa kigoma kupitia NCCR otherwise nako hakuna chama baada ya mbatia kukubali kuwa kibaraka wa CCM.
Habari hii umeitoa wapi? gazeti la Uhuru au Radio Uhuru? Fikirisha ubongo wako mkuu.Tanzania hakuna upinzani, vyama vyote ni makundi ya CCM.