MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,174
| | |||||||||||
|
| | |||||||||||
|
Chadema inatowa elimu ya uraia juu ya kuundwa katiba mpya, hizo sarakasi za vyama vingine ni janja ya CCM kutuondoa attention yetu kwenye hoja muhimu ya katiba. waache wafu wazikane wao wenyewe.
heee wewe magamba mbona mwepesi sana wa kusahau,Tayari nimeishasahau kama kuna mchakato wa katiba, hivi huu mchakato umefikia wapi???
heee wewe magamba mbona mwepesi sana wa kusahau,
Itakuwa umesahau kuwa babu wa loliondo alikuwa anatoa kikombe!
We acha tu. Yaani shida rupu, sijui 2015 tutafanya nini! NI dalili kuwa tunaelekea kuchagua makapi tenaSiasa za Tanzania sasa ni segemnege!
kwa hiyo mleta mada unataka na cdm iingie kwenye mgogoro?
Cdm kuna mgogoro mkubwa tu mmesahau ya shibuda,zitto na harakati zake za kugombea urais 2015 na bila kusahau Selasini ambae kiulisia sio cdm ila wana cdm wenyewe hawajui hilo