Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakachua style!!no dare!!Frederick Mpendazoe, who was contesting Segerea parliamentary seat in Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ticket has lost to Dr Makongoro Mahanga of Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Results announced recently show that Dr Mahanga has obtained more than 43,000 votes while Mr Mpendazoe got over 39,000 votes.
Source; citizen
very nice ndo dawa yake kazi kutangatanga arudi ccj
Asante sana mkuu kwa taarifa muhimu lakini yenye kuhuzunisha sana, wamefanikiwa kuchakachua but nawaomba Chadema waende mahakamani haraka kupinga matokeo ili uchaguzi urudiwe au la namwamba Mheshimiwa Mpendazoe asikate tamaa kwani wana mapinduzi wa kweli daima huwa hatukati tamaa mpaka kieleweke 2015 siyo mbali tuko pamoja sana, asihofu harisa ya wanasegerea kumkosa mbunge wao waliyemchagua itaripuka vikali mwaka 2015.