QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
1. Nimepata simu kutoka kwa makamanda walioko uwanja wa mapambano, Igunga kuwa mnamo saa mbili na nusu usiku huu, Vigogo kadhaa wa CCM walikuwa wanagawa sare na fweza kwa wanawake waliokusanywa eneo la hospitali ya wilaya ya Igunga.
2. Kumeitishwa mdahalo kati ya wagombea wa Ubunge jimbo la Igunga ... mpaka sasa mdahalo unaendelea.
Mlioko Igunga, Tunaomba picha na taarifa zaidi.
Quality
2. Kumeitishwa mdahalo kati ya wagombea wa Ubunge jimbo la Igunga ... mpaka sasa mdahalo unaendelea.
Mlioko Igunga, Tunaomba picha na taarifa zaidi.
Quality