kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kumetokea vurugu kubwa sana katikati ya mji wa Igunga iliyolazimu Polisi kupiga mabomu ya machozi kuwatawanya vijana walio kuwa na hasira.
Chanzo cha vurugu hizo ni CCM kwani baada ya kuchelewa kumaliza Mkutano wao hadi saa 18.45Pm ndipo basi lao lenye rangi ya CCM na mabango ya Magufuli kuzuia gari la CHADEMA lililokuwa likitokea barabara iendayo Mwanzugi ndipo vijana kwa umoja wao kuchukizwa na hali hiyo na kuanza kurusha mawe na chupa kuelekea kwenye gari la CCM na ndipo polisi walipoingilia kati na kuanza kupiga mabomu ya machozi na Risasi za moto juu kuwatawanya vijana hao wenye hasira
Chanzo cha vurugu hizo ni CCM kwani baada ya kuchelewa kumaliza Mkutano wao hadi saa 18.45Pm ndipo basi lao lenye rangi ya CCM na mabango ya Magufuli kuzuia gari la CHADEMA lililokuwa likitokea barabara iendayo Mwanzugi ndipo vijana kwa umoja wao kuchukizwa na hali hiyo na kuanza kurusha mawe na chupa kuelekea kwenye gari la CCM na ndipo polisi walipoingilia kati na kuanza kupiga mabomu ya machozi na Risasi za moto juu kuwatawanya vijana hao wenye hasira