RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
amani na utulivu inapatikana ndani ya ccm pekee.source:itv,habari za saa. Uchaguzi wa viongozi wa ccm wilaya ya kawe jijini dar es salaam umevunjika,huku wajumbe wakiishia kurushiana viti. Mmoja wa wagombea akihojiwa,amesema rushwa iliyo kithiri,ikiwemo ya ngono,imechangia kuvuruga uchaguzi huo! My take: Maumivu ya kichwa huanza taratibu,na kwa sasa ccm inahitaji dawa ambayo itaepusha kufa kwake!