CCM wangetenda haki kwa watanzania haya yasingekuwepo

Tovu

Member
Oct 21, 2010
8
0
CCM wangetenda haki kwa watanzania haya yasingekuwepo haya ndiyo matunda ya kuiba kura za wananchi au (kuchakachua) sasa ona wanashangaa nini kuhusu wabunge wa CHADEMA kutoka nje ya bunge kama ulimzurumu mtu haki yake ujue ipo siku ataidai tu. sasa watanzania halisi wanoipenda tanzania wanataka kutetea haki za watanzani wenzao wanaojalibu kujiita watanzani wanabisha sasa ulitaka kura za 2015 nazo zichakachuliwe? wacha wakaze ili kieleweke watu wapate haki zao la mwisho Chadema wanataka kubadilisha katiba ili isiwabane wananchi kutoa maamuzi yao.
 
CCM wanavuna walicho kipanda kwa kushirikiana na NEC. Cha ajabu wanashangaa kuvuna bangi ili hali wakijua kuwa walipanda bangi, ni haki yao kuvuna Bangi.

Kingine kinawasumbua kichwa wamegundua hadi wanachama wa CCM wenyewe(wengi wao) hawakumpigia kura mwenyekiti wao achia mbali vijaa walio wengi.

Huu ni mwanzo tu, kwa Chadema najua kuna mengi mazuri (mabaya kwa CCM na mafisadi) yanakuja, hatujali kuwa wemeweka speed gavana(speed gavana yenyewe ni analogy tena ya zamani halafu mbovu) bungeni ili kuzui harakati za kikombozi kutoka kwa wanamageuzi halisi wa CHADEMA. Big up CHADEMA
 
Back
Top Bottom