CCM wanawekana sawa kwa kuparurana, ninyi je mnajipangaje?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,087
6,567
Upinzani wa Tanzania una kasoro moja, haupendi kukosolewa hata kama una makosa wanayafanya, akitokea mtu akakosoa ataitwa msaliti.

Sasa hivi CCM wanaparuana huko Bungeni ni jambo jema kwa afya ya chama chao, maana kama kuna watu walitaka kwenda nje ya mstari lazima wapewe ukweli.

Sasa ninyi wapinzani kiuhalisia mna mnamatatizo mengi sana, tena ambayo ili kuweka mambo yenu sawa mlitakiwa muwe mnaparuana bila aibu.

Mmejaza wajaza matumbo, wanaokula pesa za ruzuku huku vyama vikisinyaa lakini hamna anaethubutu kuhoji. Mjifunze kukosoa.
 
Mfano hili suala la akina Mzee Mdee, wanaendelea kuingia bungeni kwa kutumia jina la CHADEMA na kukichafua chama, ni usaliti na dharau za mchana kweupe! Lakini viongozi Wa CHADEMA wapo kimyaa, Wao busy kupambana na mtu aliyekufa. Sometimes mtu unajiuliza Hawa wapinzani tz wapo serious kweli?
 
Mfano hili suala la akina Mzee Mdee, wanaendelea kuingia bungeni kwa kutumia jina la CHADEMA na kukichafua chama, ni usaliti na dharau za mchana kweupe! Lakini viongozi Wa CHADEMA wapo kimyaa, Wao busy kupambana na mtu aliyekufa. Sometimes mtu unajiuliza Hawa wapinzani tz wapo serious kweli?
Unaambiwa chizi akikimbia na nguo zako usimfukuze utaonekana nawewe ni chizi Ukweli Spika ndiye anaye aibika na katiba na Bibilia vinamuhukumu Duniani na Mbinguni
 
Upinzani wa Tanzania una kasoro moja, haupendi kukosorewa hata kama una makosa wanayafanya, akitokea mtu akakosoa ataitwa msaliti....
Hao wanaoparurana sasa si panya tu zilizoota sharubu baada ya paka kuondoka . hapo kaba wote hawa walikuwa wachumba tuu
IMG-20210415-WA0256.jpg
 
Since when?

Since its birth date

Nyerere vs Kambona

kawawa vs watu kibao

Nyerere vs Mtei

fundikira, kasanga tumbo, malecela, name it

CCM ni muunganiko wa tuvyama tudogo tudogo tuko ndani🤣🤣🤣🤣

wakitoka nje wanakuwa wamoja ndani ni maadui wanafikia hata kuuana

Unafikiri CDM ina uwezo wa kumuua JPM? no..never

wao wenyewe 🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom