TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
makada wa CCM wakiwa wamembeba juu mwenyekiti mpya wa chipukizi mkoa wa Iringa
kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa Salim Asas kushoto akimkaribisha mwenyekiti wa chipukizi mkoa Enock Luhala mara baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi mkuu wa Chipukizi mkoa
Kamanda wa UV CCM ambae alikuwa mgeni rasmi katika uchaguzi wa Chipukizi mkoa wa Iringa Salim Asas akiwa na viongozi wa UVCCM mkoa Tumain Msowoya mwenyekiti wa umoja huo kushoto na mwenyekiti mpya wa chipukizi mkoa Enock Luhala kulia
Kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa Salim Asas kushoto na mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Iringa Tumain Msowoya wakiwa wamewapakata wajumbe wa mkutano mkuu wa Chipukizi mkoa wa Iringa mara baada ya uchaguzi.Chanzo Mzee wa matukio
NB:
Kitendo kama hiki kingefanywa na CHADEMA, TLP, CUF na vyama vingine vya siasa tungesikia kelele kibao za magamba kuwa wameanza kutumia watoto kwenye siasa mnakumbuka yale ya vyuo vikuu juzi kati hapa magamba walivyo kuwa wakilia siasa zimeanza mashuleni leo hii wao wanawatumia watoto kama chipukizi.