CCM wanatumia voter suppression tactics lakini Watanzania wa leo sio wajinga

James Martin

JF-Expert Member
Apr 2, 2016
1,206
1,509
Kwanza nielezee kwa wale wasiofuatilia sana mambo ya siasa nini maana ya voter suppression. Kwa tafasiri nzuri kutoka Wikipedia ni

Voter suppression is a strategy used to influence the outcome of an election by discouraging or preventing specific groups of people from voting.

Kwa Kiswahili inatafasiri kama ni mkakati unaotumika kubadili matokeo ya uchaguzi kwa kuwakatisha tamaa au kuzuia kundi la watu fulani (wapinzani) kutokupiga kura.

Kwa mfano, kama kufanya mahojiano fake na watu na kutoa propaganda kuwa wananchi wa Hai hawamtaki Mbowe. Sasa tujiulize kwanini wanafanya hivi? Kuna vitu viwili vya wazi.

1. Kuwakatisha tamaa wapiga kura wa CHADEMA ili kutoshiriki zoezi la uchaguzi.

2. Kuwaaminisha wafuasi wa CHADEMA kuwa hata Mbowe akishindwa hajaonewa kwasababu wananchi walisha mchoka.

Ushauri wangu kwa WANACHADEMA ni kuwa hizi mbinu zinatumika nchi nzima. Siku ya kupiga kura tokeni kwa wingi na msisikilize propaganda za CCM.
 
Sabaya Mshamba saana. Ila naamini Watanzania Wangekuwa wanajitambua hili ni Jambo dogo saana.
 
chadema mtakumbuka sana nguvu ya Mzee Lowassa, sanduku la kura litawaonyesha kuwa watanzania hatuhitaji siasa za mihemko na matukio bali tunataka vitendo....miaka mitrano imekatika hamjajifunza kitu! Endeleeni kufanya harakati!
 
chadema mtakumbuka sana nguvu ya Mzee Lowassa, sanduku la kura litawaonyesha kuwa watanzania hatuhitaji siasa za mihemko na matukio bali tunataka vitendo....miaka mitrano imekatika hamjajifunza kitu! Endeleeni kufanya harakati!
Umeandika Nini? We bwege
 
Mna kadi za kupiga kura lakini au mnahamasishana tu kupiga kura ?
Ishu sio kuwa na kadi ya kupigia kura ishu ni je umeboresha taarifa zako kwny daftar la kudumu la wapiga kura? Miaka mi5 nyuma ulipiga kura daslaam, sasa hv unaishi mbeya huwez piga kura kama hukwenda kuboresha taarifa zako!!
 
Back
Top Bottom