Kamanda Francis
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 834
- 140
Kitendo Cha Kuandaa Mpango Mchafu wa Kumficha Nyuma ya Pazia Waziri Mkuu "Mizengo Pinda" ili asizolewe na Kokoro ni Sawa na Serikali hii ya Chama Cha Mizigo Kulazimisha Kulala na Nguo huku Wamo Chumbani baada ya Kufunga Ndoa na Watanzania... Haiwezekani, ni Lazima Aibu hii Iwarudie wao Coz Wamekoroga Wenyewe ni lazima Wayameze... PINDA Adhibitiwe Kwanza Kama Ilivyokuwa Kwa LOWASA... Lasivyo tutaendelea Kuamini Kuwa CCM Wanakwepa Aibu ya Serikali ya Awamu ya Nne Kusababisha Mawaziri Wakuu Wawili Kujiuzulu Kwa Kashifa za Uongozi Mbovu Dhidi ya Watanzania na wa Kulaaniwa!... >>>"WAPIGWE TU"<<< Kweli Walipigwa Mpaka Mifugo yao... ni aibu!