Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Magamba ni chama cha kushangaza kweli kweli! Wanashikamana juu, ambapo huko chini mashina yanapukutika kwa kasi ya ajabu, na hakuna hata mmoja anayeshtushwa na hilo!
Nawapa hongera CDM kwa kuanza kuirarua CCM kwa kutokea chini, ambako ndiko hujigamba kuwa ina nguvu kubwa.
Nawapa hongera CDM kwa kuanza kuirarua CCM kwa kutokea chini, ambako ndiko hujigamba kuwa ina nguvu kubwa.