Habari Wadau,
Ndiyo, waliandika barua za mialiko ambazo ziliwa wakumbusha kuja na vibiriti pamoja na madumu ya mafuta tayari kwa kuchoma makanisa (joke)Vipi UAMSHO walikutumia barua ya kwenda kufanya ile shuhuli mliyofanya?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Nao (Chadema) wakamshinda (CCM) kwa damu ya Mwana-Kondoo,na kwa neno la ushuhuda wao;ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.Kwa hiyo shangalieni enyi mbingu,nanyi mkaao humle wa nchi na bahari! kwa maana yule Ibilisi (CCM) ameshuka kwenu mwenye ghadhabu nyingi,AKIJUA YA KUWA ANA WAKATI MCHAHCE TU.