CCM wanamuenzi Mwl Nyerere kwenye kutunza misitu?

Mmawia

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
121,900
95,170
Wana ccm ni watu wa mipango mikubwa na ya kisanii eti leo wanajidai kumuenzi mwl Jk Nyerere kwa kuhifadhi mazingira!Jk Nyerere alipiga vita rushwa na ufisadi wa aina zote kama vile uliofanyika chini ya ccm yaani
1:EPA
2:ESCROW
3:MIKATABA MIBOVU YA MADINI
Hayo yote ni adui mkubwa wa maendeleo na mwl Jk Nyerere aliyapinga lkn kwa ccm ya sasa wanaona ndiyo fasheni!
 
Wanaandaa pori la kumpeleka kada wao wa BUNDA kwenye hifadhi yake ya GOMBE alikotoroka....
WASIRA sio wa mchezo-mchezo!
Shubaaamit!
 
Back
Top Bottom