Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
hawaoni dalili kama za lyatonga na nccr za chama kupotea maboya.
hawaoni dalili kama za cuf kwamba ipo siku watakirubuni na kufunga nacho ndoa haramu.
wanaona cdm kinakua tu.
kinazidi kupendwa na hakuna dalili ya kuyumba.
penyeapa ndo ccm wanapata taabu kwelikweli.
hawaoni dalili kama za cuf kwamba ipo siku watakirubuni na kufunga nacho ndoa haramu.
wanaona cdm kinakua tu.
kinazidi kupendwa na hakuna dalili ya kuyumba.
penyeapa ndo ccm wanapata taabu kwelikweli.