Kakungulume
JF-Expert Member
- Dec 18, 2008
- 213
- 54
Kwa kweli wazungu watatucheka,
CCM hawa ni mashetani ya Tanzania, kwa sababu wanafanya kila hila kupata ushindi ilhali wakijua
fika ahadi na sera zao hazitekelezeki.
Sasa wanataka kupanga majimbo ya ushindi ili wakajipange kuichakachua nchi hii pendwa ya Tanzania.
Ona sasa, majimbo yote ambayo CCM inaelekea kushinda NEC inayatangaza FASTA, lakini yale ambayo CHADEMA au CUF imeshinda kwa TZ bara hawatangazi kwa wakati. Ona Lindi, Pwani n.k yametangazwa tayari na Arusha mjini na Nyamagana Mwanza kimya hata sasa, KULIKONI.
CCM hawa ni mashetani ya Tanzania, kwa sababu wanafanya kila hila kupata ushindi ilhali wakijua
fika ahadi na sera zao hazitekelezeki.
Sasa wanataka kupanga majimbo ya ushindi ili wakajipange kuichakachua nchi hii pendwa ya Tanzania.
Ona sasa, majimbo yote ambayo CCM inaelekea kushinda NEC inayatangaza FASTA, lakini yale ambayo CHADEMA au CUF imeshinda kwa TZ bara hawatangazi kwa wakati. Ona Lindi, Pwani n.k yametangazwa tayari na Arusha mjini na Nyamagana Mwanza kimya hata sasa, KULIKONI.