Katika hali isio ya kwawaida, Mgombea wa CCM bw.Sioi Sumari, alijikuta akiwa peke yake kwenye chumba cha kuhesabu kura, huku wapambe Livingstone Lusinde,Mwigulu nchemba,Christopher ole Sendeka, na wapambe wengine wakitokomea kusiko kujulikana, wakimwacha Ndg.Sumari peke yake, ikionekana kana kwamba ametekelezwa huku hajui kilichokuwa kikiendelea na ikisemekana baadhi ya magamba wako njiani kuelekea Dar, nakushauri ndg.Sioi uhamie tu CDM, uendeleze mapambano na Mh.Joshua Nassari katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Arumeru
Katika hali isio ya kwawaida, Mgombea wa CCM bw.Sioi Sumari, alijikuta akiwa peke yake kwenye chumba cha kuhesabu kura, huku wapambe Livingstone Lusinde,Mwigulu nchemba,Christopher ole Sendeka, na wapambe wengine wakitokomea kusiko kujulikana, wakimwacha Ndg.Sumari peke yake, ikionekana kana kwamba ametekelezwa huku hajui kilichokuwa kikiendelea na ikisemekana baadhi ya magamba wako njiani kuelekea Dar, nakushauri ndg.Sioi uhamie tu CDM, uendeleze mapambano na Mh.Joshua Nassari katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Arumeru